Utengenezaji wa supu ya karanga

Utengenezaji wa supu ya karanga

Kamaka

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2010
Posts
563
Reaction score
33
mahitaji
karanga mbichi kilo 1
supu ya ng'ombe lita 2(UNAWEZA KUINUNUA,AU KUITENGENEZA MWENYEWE)
maji lita 2
chumvi (kwa kiasi unachoridhika nacho)
pilipili(kama utahitaji)
limao(kama utahitaji)

maandalizi

twanga karanga mpaka zisagike


weka maji jikoni yakishaanza kupata vuguvugu,weka karanga zilizosagwa,
subiri mpaka zichemke kisha weka supu ya ng'ombe,koroga mchanganyiko huo kwa dakika 30.weka chumvi ,
supu ipo tayari kutumika.
waweza kunywa na ndizi za kuchemsha/kukaanga ,mkate,
unaweza kuweka pilipili au limao kama utapenda
 
sasa na hiyo supu ya ng'ombe umeshaitengeneza au unaenda kwa mangi muuza kongoro kuinunua na kingine hizo karanga hata zile zilizotwangwa zinaruhusiwa au mpaka mbichi mkuu.. BTW thanks for lesson
 
Sorry nilisahau ,
unaweza kwenda kuinunua au ukaitengeneza mwenyewe .
 
Mkuu ndetichia na kuhusu karanga ni mbichi tu zilizotwangwa.
 
mahitaji
karanga mbichi kilo 1
supu ya ng'ombe lita 2(UNAWEZA KUINUNUA,AU KUITENGENEZA MWENYEWE)
maji lita 2
chumvi (kwa kiasi unachoridhika nacho)
pilipili(kama utahitaji)
limao(kama utahitaji)

maandalizi

twanga karanga mpaka zisagike


weka maji jikoni yakishaanza kupata vuguvugu,weka karanga zilizosagwa,
subiri mpaka zichemke kisha weka supu ya ng'ombe,koroga mchanganyiko huo kwa dakika 30.weka chumvi ,
supu ipo tayari kutumika.
waweza kunywa na ndizi za kuchemsha/kukaanga ,mkate,
unaweza kuweka pilipili au limao kama utapenda

...supu ukitia nazi, umeharibu..(ladhaaa)
....supu yake nindimu, na pilipili tuuu


siyo mimi mkuu, ni muhdin huyoo! lakini hii ya karanga c mcgyz utakuwa mzito na utatamani tonge la ugali!
 
Back
Top Bottom