Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa

Maneno mengi ambayo yangefupishwa tu kwa kutoa kadi ya uanachama ya Hamza- AMBAYO HAMNA-MANENO TU- BURE KABISA
Unaelewa tofauti kati ya mwanachama na kada? Labda tuanzie hapo
 
Hilo gazeti lina nia ovu na hiyo adhabu ni haki yao,kwani ukisema hamza ni hatari kuna ubaya gani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Utetezi makini Sana. Hongereni Raia Mwema japo mmeonewa.
 
MaCCM yametaka kusikia utetezi, wakati kifua cha kuvumilia ukweli mchungu hawana.πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€



 
Msigwa anapitiliza sasa anajisahqu aana huyu kwanza uwezo wake mdogo sanaa...kubebana huku acheni tuu
 
Hahaaaa watu wanaojiamini na mambo yao hata ukiwatishia na ukurupukaji wa huko Lumumba wala hawatishi watu wanaojielewa, jamaa anapewa mbinu zile zile za Abasi ambaye alikua anapigiwa simu na mwendazake kumfundisha nini afanye, Msigwa ni Debe Tupu ndiomaana kabla ya lolote lazima awasiliane na Abasi na Chongolo ili wajue wanatokaje
 
utetezi unaridhisha
bado tu wa maumivu 17,
maana mama alitusemea watanzania tumekubali tozo, alafu serikali inaona 'raia mwema' inasema tumepata maumivu
kweli kazi ipo, sijui ingeandikwa furaha 17 tunazo zihusudu labda wangepewa tunzo πŸ˜† πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…