UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...


hoja zako zinanisaidia kuthibitisha ya kuwa DPP ni bomu.......ilkuwaje amkamate Lulu wakati kumbe hata post-mortem ripoti haijakamilka, kumbe kuna hata mawasiliano ya simu hayajulikani yanasema nini na taarifa ya mkema mkuu haijulikani? Sasa DPP akiwa hana vielelezo hivi alifikiaje kumtia nguvuni masikini mtoto wa watu na kumfungulia makosa ya jinai wakati hana hata chembe ya ushahidi?

kwa khali hii hata wewe DPP anaweza sasa hivi kukutia ndani na kukufungulia kesi ya hii ya mauaji kwa madai anasubiria vielelezo muhimu kutoka kampuni ya simu, post-mortem report na ripoti ya mkemia mkuu...............Am very sad with the way this nation is heading..................yaani haki za raia zinachezewa kama za kuku ambaye uhai wake na uhuru wake uko mikononi mwa mbabaishaji yoyote yule kama huyu DPP............

ni vyema tiukaanza kuangalia haki za mtuhumiwa..........2day it Lulu 2morrow could be you.....................na kwa bahati mbaya hutakuwa unahushishwa na mauaji ya celebrity or a self-proclaimed number one Bongo movie superstar like mwendazake.............
 

Nadhani hili ni tatizo lako la kuzaliwa nalo, kujifanya mjuaji kumbe kichwani hakuna kitu.
Unaweza kuthibitisha ubakaji wa kanumba? we unafikiri lulu akishasema tu kwamba kanumba alitaka kumbaka basi jaji anatoa hukumu ya kutomtia hatiani? kama wewe umesoma sheria basi ni hasara kwako, kwa familia yako na taifa kwa ujumla. mwanasheria gani asiyeweza kushughulisha akili yake??

Hoja zimetolewa hapa badala ya kuzijibu unaanza kuleta nyodo, sasa wewe nae katika watu waliosoma unajiita msomi? mara ujiite political analyst, mara mwanasheria hata hueleweki mkuu au ndo kuishi kimjinimjini!! Bora mimi nisiyesoma sheria lakini siwezi kuandika utumbo kama huu unaoandika hapa huku ukijiita mwanasheria.

Na jambo la mwisho na la msingi, umeshaiona charge sheet ya lulu? au ndo mambo ya u-bush lawyer!!??
 
Kama Zombe alishinda na maushahidi yote yale sitegemei Lulu kuendelea kubakia kuhukumiwa kifungo hata cha siku moja. Pia wanasheria wetu wanazidi kujidhihirisha kutojua sheria pale wanapo file kosa la Murder badala ya Manslaughter kama ilivyokuwa kwa Zombe.
 
Mimi si mwanasheria ingawa ningeshauri kuwa tusiweke maneno yetu na utaalamu wa kisheria katika kinywa cha Lulu. Hakuna anayependa kuona Lulu anaadhibiwa endapo hana kosa lakini pia tusitumie utaalamu wa kisheria kutetea uozo katika jamii. Lulu amekiri kuwa na wapenzi wa umri zaidi ya Babake ..... na hao je wafanywe nini? Hili suala ni pana zaidi ya tunavyolifanya kuonekana. Kwa ujumla maadili yameporomoka katika jamii yetu na nitajifunza kutoka kwa wanaseria kwani inaionekana kuwa wao wanapopita kona kona huwa awali ya youe wanauliza umri na birth ceritificate za hao vidosho? Na kuwataka wakalete Original Birth Certificate .... Mmmmh!

Ati kubakwa ..... suala zima zima halina mazingira ya ubakaji. Ukweli wa Lulu ndio wa muhimu kuliko ubingwa wa sheria.
 
hoja zako zinanisaidia kuthibitisha ya kuwa DPP ni bomu.......ilkuwaje amkamate Lulu wakati kumbe hata post-mortem ripoti haijakamilka,

Usiendelee kuiaibisha taaluma ya sheria na wanasheria kwa u-bush lawyer wako, tumia akili yako japo kidogo tu utafahamu kwamba lulu alikamatwa na polisi, DPP hafanyi kazi ya kukamata watuhumiwa!!
 
Mkuu Ruta ahsante saana kutoa ukweli huo hadharani, nilijaribu kusaport thread ya Watanzania kushabikia uzinzi ikahamishiwa sijui (cereblity)!!!! Lakini kwa hili ndio ukweli mwendazake alitumia dhiki ya mtoto huyo na kumuweka chini ya himaya yake eti mpenzi wake tena anataka kufunga naye ndoa???????? Baada ya kumfundisha uigizaji akamfundisha na ufuska, kitendo cha kulala na mtoto under age ni cha ubakaji, siri imeanza kufichuka!!!! Hata kama mtoto huyo alikubali lakini kwa akli za utu uzima alitakiwa kumsaidia kielimu na malezi mema ansubilie akomae kiakili aingize gia zake baadae!!! Hivyo ushahidi wa umri unamtia mwendazake matatani, ikionyesha dhahili hakukuwa na penzi kati yao ila ni ubakaji!!!!!Tusishabikie wabakaji mwisho wa siku watoto wetu wataingia kwenye kundi hilo dhalimu wakifuata fadhila!!!!!

 
Jamani hii hoja ya kutaka kubakwa kwa Lulu inatoka wapi?
Mbona tulisikia kuwa Marehemu alimsikia Lulu akipokea simu na hivyo akahisi anaongea na mwanaume mwingine?
Hiyo inahusiana nini na kutaka kubakwa??:???
  1. Nadhani marehemu alitaka kumuadabisha Lulu.
  2. Lulu akajitetea kwa namna fulani.
  3. On the process marehemu alianguka.
  4. Labda alisukumwa kama ilivyosemwa, au aliteleza na kuanguka.

  • Nasema kuteleza kwa kuwa tumesikia kuwa marehemu alikuwa bafuni anaoga, huenda kwa kuw amelowa maji ni rahisi kuteleza sakafuni (Tiles).

Sasa basi kama kifo kimetokana na kuanguka, issue ya kubaka haipo na issue ya umri haina msingi hapo, maana Criminal liability kwa mtu yeyote ni inaanzia above 10yrs, Labda wakati wa hukumu ya kuua kwa kukusudia ndio umri wa Lulu unaweza kujadiliwa hapo.
Kwasasa umri sio issue kabisa.
 

Unajichanganya mwenyewe, Allien hajasema kwamba Dotnata alikuwa mchumba wa kanumba(mind you dotnata ni mke wa mtu). Alichosema Allien ni kwamba Dotnata ameshuhudia kwamba hawa watu walikuwa ni wachumba. Dotnata anathibitisha kwamba hawa watu walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miezi sita sasa.

Hata kama una mapenzi makubwa sana kwa lulu, usipotoshe watu mkuu, hakuna mwenye chuki na lulu, tunachotaka sisi ni ukweli ujulikane na lulku atendewe haki.
 

Mkuu andika full citation otherwise hizi sheria unazozisema zitakuwa ni za kwako binafsi.


soma kwenye hiyo nyekundu kwa uangalifu mkubwa sana.............hakuna makubaliano yoyote ya kutembea na msichana ambaye ni chini ya miaka 18............
 


Kishoka, nimeipenda anaysis yako. Hawa wanasheria wanasoma notes bila kuangalia kwanza uhalisia pili na ushahidi wa kimazingira. Hapa bado uhalisia wa tukio anao Lulu, taarifa ya madaktari na pia afya ya Kanumba (ambayo Daktari wake anaweza kuielezea). Tuongelee ushahidi wa kimazingira .... Historia ya LULU ana wanaume wengi kwahiyo wote ni wabakaji. At least she has admitted that the misunderstanding was caused by the call she received from another Muzee!!! Baada ya tukio alikwenda Coco Beach na akaitwa na Daktari ambapo alikwenda akidhani Kanumba is back to his normal state .... akarudi ... ni kweli huyo alikuwa anabakwa?? Dotnata amekiri kuwa Kanumba alimpeleka Lulu kwake kumtambulisha kuwa anataka kumwoa.
 

Mtumishi wetu,

Mkuu hapa hatuzungumzii uzinzi, hapa tunazungumzia kifo cha kanumba na kesi ya mauaji inayomkabili lulu.

umri wa lulu bado ni kizungumkuti, kwahiyo unapomhukumu mwenda zake basi unalazimika kututhibitishia umri halisi wa lulu, kwakuwa hapa kuna miaka 18, na kuna miaka 17. Kabla ya kutoa hukumu kwa mwendazake, thibitisha kwanza umri halisi wa lulu.
 

sioni hoja ya kisheria ya kuijibu hapa...........zaidi ya kuelezea ufahamu wake wa kihisia
 

ukikataa kuzungumzia uzinzi ina maana Lulu kamwe ushaidi wake hauwezi kusikilizwa.............watu hufa na wengi wetu tunakufa kwa sababu zetu wenyewe.......................kwa nini makimbilia kauwawa ....hivi yeye alikuwa siyo wa kufa kama wengine tunavyokufa?
 
soma kwenye hiyo nyekundu kwa uangalifu mkubwa sana.............hakuna makubaliano yoyote ya kutembea na msichana ambaye ni chini ya miaka 18............

Wakati tunaendelea kujisomea hiyo sheria na wewe thibitisha pasipo shaka kwamba umri wa lulu ni chini ya miaka 18.
 


Hakuna anayekataa kanumba kufa, hapa tunazungumzia mazingira na sababu za kifo chake, kama angejifia mwenyewe chumbani bila lulu kuwepo unadhani sasahivi tungekuwa tunayaandika haya??

Mashitaka yaliyoko mbele ya lulu ni mauaji ya kanumba, sasa kama unadhani huo utetezi wa kutaka kubakwa unaweza kuhalalisha kuua ama unaweza kumnasua na kesi ya mauaji, basi endelea kumtengenezea utetezi mkuu.
 

nimeibandika sheria ya sexual offences act......................labda itasaidia kukutoa hizi tongotongo
 
nimeibandika sheria ya sexual offences act......................labda itasaidia kukutoa hizi tongotongo

Sheria haina tafsiri, ndio maana kukawepo mahakama kwaajili ya kazi ya tafsiri.
Sioni kama kuna issue ya kubaka katika sakata la kifo cha Marehemu Kanumba hapa.
Na hiyo uliyotoa hapo ni Definition of terms tu, itakusaidia katika kutafsiri vifungu vya sheria husika Ruta!.
 

mwita learn to read between the lines...................ninachosema ni utetezi....mark my words........................hayo mengineyo hayaboreshi mjadala nijitie na hata nisipojitia.................haina maana jibu hoja ..........if you can or simply shut up..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…