Ni suala la muda tu kabla ya Mzee Mbowe kuchukua form ili atetee nafasi yake ya uwenyekiti ambayo alibadilisha katiba ili awe mwenyekiti wa kudumu.
Tutegemee yafuatayo toka kwa huyu Mzee:
1: Nilinyanganywa mali zangu na kufilisiwa
2: Nimewekwa mahabusu kwa ajili ya hiki chama,
3: Nimepigwa virungu kwa ajili ya hiki chama.
Kwa hiyo wanachadema wenzangu naombe ridhaa yenu ili niendelee kuteseka kwa qjili yenu. (Machawa utaona yatakavyoshangialia)
Tutegemee yafuatayo toka kwa huyu Mzee:
1: Nilinyanganywa mali zangu na kufilisiwa
2: Nimewekwa mahabusu kwa ajili ya hiki chama,
3: Nimepigwa virungu kwa ajili ya hiki chama.
Kwa hiyo wanachadema wenzangu naombe ridhaa yenu ili niendelee kuteseka kwa qjili yenu. (Machawa utaona yatakavyoshangialia)