Utetezi wa Ole sabaya unadhihirisha Katiba mpya inahitajika haraka

Utetezi wa Ole sabaya unadhihirisha Katiba mpya inahitajika haraka

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa wilaya ni mteule wa Rais

Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani.

Ukifuatilia kilio cha aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya kuanzia Ijumaa hadi leo utagundua kuwa tunahitaji katiba mpya chap kwa haraka.
 
Mkuu wa wilaya ni mteule wa Rais

Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani.

Ukifuatilia kilio cha aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya kuanzia Ijumaa hadi leo utagundua kuwa tunahitaji katiba mpya chap kwa haraka.
Naunga mkono hoja tunahitaji Katiba Mpya haraka
 
Mkuu wa wilaya ni mteule wa Rais

Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani.

Ukifuatilia kilio cha aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya kuanzia Ijumaa hadi leo utagundua kuwa tunahitaji katiba mpya chap kwa haraka.
hujaeleweka katiba inatakiwa ya nini hapo sasa hilo siyo hitajila wananchi ni hitaji la wanasiasa
 
Yohana naona unajaribu ku-elicit some sort of reaction from a "certain" group
 
Ni Kweli Katiba Mpya inahitajika hata Mama Katika Kuupiga Mwingi Amekiri hilo Isipokuwa Kwa sasa Kaomba Kwanza Aijenge nchi Mpaka muda Muafaka Ukifika....! Kiherehere sio Kizuri
 
Back
Top Bottom