Utetezi wa Sabaya: Ametanua uwanja, ana mengi ya kuyathibitisha. Porojo hazitatosha kumnasua!

Mataga Pori huamini unachokiona kwa macho yako hadi unataka kubishana na radio 🤣 🤣 🤣
 
Kazi aliyokuwa nayo ni kuainisha majukumu yake yalikua yapi kwenye operation na je hakuvuka mipaka katika kuyatekeleza.
Athibitishe uteuzi wake kwenye hiyo operation
 
Hata Mimi amenishangaza aise huyu jamaa hadi najiuliza hapo UDSM anafanya nini. Anasema eti Sabaya katanua wigo wa kithibitisha, Sabaya ana Cha kuthibitisha kwenye hii kesi kweli?
Ha ha haha hatari sana.
 
Ndio ni mtumishi wa serikali kwa sababu bado hajafukuzwa na ... najua inauma kwa wale walidai kagushi
 
Sio mjinga Sabaya kuongea vile mahakamani, Hakuna muda yupo bize kutoingia mtegoni kama sasa.
Itachukua muda ila atatoka tu.
 
We jamaa hapo UDSM sijui ulibakije aise.
Sabaya hahitaji kuthihitisha chochote aise kwenye hii kesi. Anachotakiwa kukifanya kwa ushahidi huo anakifanya kwa usahihi mkubwa mno. Umenishangaza aise.
hoja za sabaya hazina ushahidi, inabidi alete ushahidi kuthibitusha utetezi wake
 
adhibitishe kama hajafanya uhalifu akiwa eneo la tukio
adhibitishe kama ilikua ni halali yeye kuwepo pale.
adhibitishe kama aliingia pale kihalali.
Ha ha ha majibu yako wewe hayanishangazi kwa sababu kwenye sheria wewe ni mpumbavu, nataka bwana Mselewa ambaye ni mwanasheria ajibu swali langu.
By the way under which principle of crimimology Sabaya anatakiwa kuthibitisha hayo unayoyasema kwenye hii kesi?
 
Sabaya kusema alitumwa maana yake alifanya,Yani kakiri makosa. Then sheria inachukua mkondo wake, tusubiri tu akaolewe na nyapara hakuna namna amerahisisha kazi
 

Hii kesi imefika patamu. Tungeyajulia wapi haya kama baba mzazi angekuwapo?

Hiiiiii bagosha!
 
ni mtumisi wa umma kwa kazi ipi??

ni mtumisi wa umma kwa kazi ipi??
Ile ambayo alizembea akaonekana badala ya kutokuonekana wajuba wakamwaga ila Magu akamwokota jalalani na kumpa uDC na hiyo ndio iliyokiwa inamfanya aende nje ya dola yake kudili na walioitwa wajumu uchumi kama ambavyo yeye kasema ameshaenda Arusha, Dar kwa operation maalum
 
angekua ni Tiss kungekua hakuna haja yeye kusema kwamba alishawahi kufanya ujambazi mwingine kwa kushirikiana na Magufuli na Mpango huko Dar na Mwanza,
angekua ni Tiss angesema alifanya kazi hiyo kama mtumishi wa Idara maalum chini ya Rais.

Inshort huyu anatafuta justification ya yeye kufanya kazi nje ya kituo chake cha kazi na tayari ameipaka mavi ofisi ya rais kuwa ilimtuma kwenda kufanya ujambazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…