Utetezi wa Sabaya: Ametanua uwanja, ana mengi ya kuyathibitisha. Porojo hazitatosha kumnasua!

Madai ya Sabaya naweza kuyafananisha na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu. Hivi wale waliompiga risasi TL wakifahamika na kufikishwa mahakamani, je wakijitetea kuwa walipata maagizo kutoka juu utetezi huo utawasaidia? Hapana hauwezi kuwasaidia.
Hawa maRC na maDC asilimia kubwa ni majambazi tu
 
... ghafla urais umekoma kuwa taasisi kufuatia sakata la Sabaya? Wakuu wengine wote wa wilaya na wateule wengine wa toka enzi za awamu iliyopita nao mamlaka zao za uteuzi hazipo tena au ni kwa Sabaya tu? Sijaelewa!
Kwenye ushahidi mahakamani anakuja aliyetoa amri. Kama ilitoa taasisi ije taasisi kama alitoa mtu aje huyo mtu. Taasisi inatoa amri kwa maandishi tofauti na mtu anayeweza kutoa amri kwa maneno au ishara. Mleta mada kasema anamsubiri Sabaya alete ushahidi wa huyo "Mamlaka ya Uteuzi".
 
Nne, Sabaya amedai kuwa yeye bado ni mtumishi wa serikali. Hakusema ni kwa nafasi ipi na ana majukumu gani. Hilo nalo anapaswa aliweke sawa kwa ushahidi.
Kwa hilo yupo sahihi kwani tulitangaziwa kuwa Rais amemsimamisha kazi (suspend) ili kupisha uchungzi. Hadi sasa hatujaambiwa vinginevyo. Mtu akipata suspension anatambulika bado mtumishi na kupata nusu mshahara.
 
Kama kutochomoka alitakiwa ashitakiwe kwa kosa la maumizi mabaya ya ofisi, sio unyanga'nyi wa kutumia siraha.

Amekiri kuwepo kwenye duka lilitotajwa kufanya operation maalumu ya uhujumu uchumi, hajakiri kufanya ujambazi.

Acha kuleta mahaba yako.
 
Kama kutochomoka alitakiwa ashitakiwe kwa kosa la maumizi mabaya ya ofisi, sio unyanga'nyi wa kutumia siraha.

Amekiri kuwepo kwenye duka lilitotajwa kufanya operation maalumu ya uhujumu uchumi, hajakiri kufanya ujambazi.

Acha kuleta mahaba yako.
Kwani kuna jambazi huwa anakubali kuwa alinyang'anya? Ni ushahidi kutoka prosecution side ndiyo unaothibitisha unyang'anyi. Yeye kukiri kuwapo pale kunajenga mazingira ya kuthibitisha.

Hakimu ataunganisha maelezo yake kisha atachanganya na ya prosecution na hatimaye atatoa uamuzi
 
Acha kulazimisha mambo. Kwenda kufanya kazi maalumu ndio ujambazi?
 
 
safi sana
 
Wewe huna tofauti na Rais Samia kwenye kesi ya Mbowe maana umeshamtia hatiani Sabaya kabla ya maamuzi ya Mahakama. Kumbe mamlaka ya uteuzi wa Sabaya ilikoma baada ya Magufuli kufa? Kwa maana hiyo wale wote walioteuliwa na Magufuli hawana uhalali wa kuendelea na nyadhifa zao? Umeandika ki-BAVICHA mno
 
Sawa, kunywa chai sasa
 
Thanks Mkuu, I was about to ask the same question [emoji780]
Urais sio mtu Urais ni Taasisi

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
You mean kama alitumwa na rais it means alitumwa na taasisi, right? Je mtu hawezi kutumia jina la taasisi kufanya mambo yake binafsi?
 
Yes offcourse, lazima athibitishe ayo (solid evidence needed)
Kama alipigiwa simu basi(rycle bin ipo tarifa zitapatikana mtandao husika uliotumiwa au simu ya mezani

Kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…