UTEUZI: Bi Monalisa ateuliwa kuwa Msemaji wa Klabu ya Simba Queens

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106

Uteuzi huo wa Bi Yvonne Cherrie almaarufu Monalisa kuwa Msemaji wa Klabu ya Wanawake ya Simba (Simba Queen) unaanza mara moja.

Kabla ya Uteuzi huo Bi Monalisa alijishughulisha na mambo mbalimbali ya Sanaa ikiwemo Uigizaji.

Mteuliwa huyo ameshatambulishwa rasmi na Uongozi wa Klabu ya Simba tayari kabisa kuanza utekelezaji wa majukumu yake.

Simba
 
Weka picha mkuu. Then hii mada ipelekwe kwenye jukwaa la michezo
 
... weka picha na CV yake kwa ufupi! Halafu hii peleka kule kwenye jukwaa la michezo na buradani au celebrities.
 
Kwani Manara amestaafu kuwasemea wenzake?
 
Kateuliwa na Fatma Dewji?
 
Haji hatapenda jambo hili. Yeye ndiye msemaji wa Simba zote hadi kiama
 
Huku kwa kina mama Haji kungemfaa zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…