Uteuzi & Kumpangia Balozi kituo cha kazi: Stephen Simbachawene apangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil

Uteuzi & Kumpangia Balozi kituo cha kazi: Stephen Simbachawene apangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

1736524646732.png

1736524687512.png


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Wenyeviti wa Bodi na kumpangia kituo cha kazi Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

(i) Jaji Latifa Alhinai Mansoor ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Mansoor alikuwa Jaji Mfawidhi, Kituo Jumuishi, Morogoro;

(ii) Jaji George Mcheche Masaju ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Masaju alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu na Mshauri wa Rais, Sheria;

(iii) Jaji Dkt. Deo John Nangela ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Nangela alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Sumbawanga;

(iv) Jaji Dkt. Ubena John Agatho ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Agatho alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara, Dar es Salaam;

Pia soma:
Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

(v) Balozi Dkt. Stephen John Simbachawene amepangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Balozi Dkt. Simbachawene anachukua nafasi ya Balozi Prof. Adelardus Kilangi ambaye amepangiwa majukumu mengine;

(vi) Bw. Uledi Abbas Mussa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi cha pili; na

(vii) Prof. Zacharia Mabubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE). Prof. Mganilwa anachukua nafasi ya Prof. Wineaster Anderson ambaye amemaliza muda wake.

Aidha, uapisho wa Majaji wa Mahakama ya Rufani walioteuliwa utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

 
Inaonekana Simbachawene ni familia kubwa na iliyotia bidii hadi kuwa kwenye system.

1. George Simbachawene

2. Stephen Simbachawene

Wengine nimesahau mnaweza kuwaongeza kwenye list?
Hongera yao kwa upambanaji
 
Wakuu,

View attachment 3197733
View attachment 3197734

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Wenyeviti wa Bodi na kumpangia kituo cha kazi Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

(i) Jaji Latifa Alhinai Mansoor ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Mansoor alikuwa Jaji Mfawidhi, Kituo Jumuishi, Morogoro;

(ii) Jaji George Mcheche Masaju ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Masaju alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu na Mshauri wa Rais, Sheria;

(iii) Jaji Dkt. Deo John Nangela ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Nangela alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Sumbawanga;

(iv) Jaji Dkt. Ubena John Agatho ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Agatho alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara, Dar es Salaam;

(v) Balozi Dkt. Stephen John Simbachawene amepangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Balozi Dkt. Simbachawene anachukua nafasi ya Balozi Prof. Adelardus Kilangi ambaye amepangiwa majukumu mengine;

(vi) Bw. Uledi Abbas Mussa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi cha pili; na

(vii) Prof. Zacharia Mabubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE). Prof. Mganilwa anachukua nafasi ya Prof. Wineaster Anderson ambaye amemaliza muda wake.

Aidha, uapisho wa Majaji wa Mahakama ya Rufani walioteuliwa utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

Wakuu,

View attachment 3197733
View attachment 3197734

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Wenyeviti wa Bodi na kumpangia kituo cha kazi Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

(i) Jaji Latifa Alhinai Mansoor ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Mansoor alikuwa Jaji Mfawidhi, Kituo Jumuishi, Morogoro;

(ii) Jaji George Mcheche Masaju ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Masaju alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu na Mshauri wa Rais, Sheria;

(iii) Jaji Dkt. Deo John Nangela ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Nangela alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Sumbawanga;

(iv) Jaji Dkt. Ubena John Agatho ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huu, Jaji Dkt. Agatho alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara, Dar es Salaam;

(v) Balozi Dkt. Stephen John Simbachawene amepangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Balozi Dkt. Simbachawene anachukua nafasi ya Balozi Prof. Adelardus Kilangi ambaye amepangiwa majukumu mengine;

(vi) Bw. Uledi Abbas Mussa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi cha pili; na

(vii) Prof. Zacharia Mabubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE). Prof. Mganilwa anachukua nafasi ya Prof. Wineaster Anderson ambaye amemaliza muda wake.

Aidha, uapisho wa Majaji wa Mahakama ya Rufani walioteuliwa utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

naona Jaji Latifa Alhinai Mansoor ameteuliwa sasa kuwa Jaji wa Rufani baada ya kufanikisha dili hararamu la kuihujumu Kesi ya Ardhi ya wale jamaa pale Morogoro, Mungu anamuona kwa uovu aliowatendea wale jamaa.
Yule karani wake Bw. Yona ambaye alishirikiana naye kwenye njama za uovu huo naye nasikia alishateuliwa kuwa hakimu wa Wilaya. Hatari sana kama kwenye hizi Mahakama zetu majaji na Mahakimu wanateuliwa kwa njia za rushwa namna hii, Haki za watu zipo hatarini sana kwa kupotea au kuhujumiwa makusudi. Rushwa ni adui wa haki.
nafikiri inatakiwa kuwe na mchakato wa vetting za wazi kwa hawa viongozi kabla ya kuteuliwa kwao ili sisi wananchi pia tuweze kutoa maoni na mapendekezo yetu, kama kuna mtu ana ushahidi au uthibitisho wa kuwepo kwa makandokando yoyote yale kuhusu mteuliwa yoyote yule basi aweze kuyaanika hadharani kabla ya mtuhumiwa hajateuliwa. hii itasaidia sana kupata wateule wasiokuwa na makandokando yoyote yasiyofaa
 
Ni kweli kwamba hali ya uteuzi wa majaji na mahakimu katika mfumo wa sheria ni nyeti sana, na inahitaji umakini wa hali ya juu.

Uteuzi wa watu wenye tuhuma za ufisadi au ubadhirifu wa mali za umma unaleta wasiwasi kwa jamii, na kama ulivyosema, haki za watu zinaweza kuwa hatarini.

Mambo Muhimu ya Kuangazia:

1. Utaftaji wa Ukweli: Ni muhimu kwa mchakato wa uteuzi uwe na ufuatiliaji wa kina. Hii inamaanisha kuwa viongozi wanapaswa kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo wana rekodi nzuri ya utendaji kazi.

2. Vetting ya Wazi: Mchakato wa vetting unapaswa kuwa wazi na kujumuisha wananchi. Hii itawapa wananchi fursa ya kutoa maoni yao kuhusu wateule na kutangaza ushahidi wowote wa tuhuma walio nao.

3. Mifumo ya Kisheria: Kuimarisha mifumo ya sheria na kanuni zinazohusiana na uteuzi wa viongozi wa mahakama. Hii inaweza kusaidia kuondoa malalamiko na kusisitiza uwajibikaji.

4. Elimu na Uhamasishaji: Wananchi wanapaswa kuhamasishwa kuhusu haki zao na jinsi ya kushiriki katika mchakato wa uteuzi. Hii itawawezesha kuelewa umuhimu wa kuchagua viongozi waadilifu.

5. Taasisi Huru: Kuanzisha taasisi huru zinazoweza kuchunguza na kutoa mapendekezo kuhusu uteuzi wa majaji na mahakimu. Hizi taasisi zinapaswa kuwa na mamlaka ya kutosha ili kuhakikisha uwazi na haki.

Hitimisho

Rushwa ni adui wa haki, na inahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa serikali, jamii, na taasisi za kiraia ili kukabiliana nayo.

Kuweka mchakato wa uteuzi wazi na wa uwajibikaji ni hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa viongozi wa mahakama wanaaminika na wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi na haki.
 
Back
Top Bottom