Uteuzi na Utenguzi: Jaji Winfrida Beatrice Korosso ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Uteuzi na Utenguzi: Jaji Winfrida Beatrice Korosso ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Screenshot 2024-04-04 224622.png

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

i) Amemteua Mhe. Jaji Winfrida Beatrice Korosso kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT). Mhe. Jaji Korosso ni Jaji wa Mahakama ya Rufani.

ii) Amemteua Bi. Bibiana Joseph Kileo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Kabla ya uteuzi huu Bi. Kileo alikuwa Mkuu wa Mashtaka Mkoa (RPO), Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Mwanza.

iii) Amemteua Bi. Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mtulo alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.

iv) Ametengua uteuzi wa Bi. Catherine Michael Mashalla, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manisapaa ya Sumbawanga.
 
Yashatuchosha haya mambo. Kila siku teuzi na tenguzi lkn hakuna cha maana kinafanyika ktk maisha na maendeleo ya watanzania na taifa kwa ujumla.

Hakuna hata haja ya kuwajulisha watanzania, awe anafanya kimya kimya na kuapisha kimya kimya.
 
Labda mama anapenda zile ghafla za kuapishana sema nina ombi safari hii kawapishie Dodoma!
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

i) Amemteua Mhe. Jaji Winfrida Beatrice Korosso kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT). Mhe. Jaji Korosso ni Jaji wa Mahakama ya Rufani.

ii) Amemteua Bi. Bibiana Joseph Kileo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Kabla ya uteuzi huu Bi. Kileo alikuwa Mkuu wa Mashtaka Mkoa (RPO), Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Mwanza.

iii) Amemteua Bi. Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mtulo alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.

iv) Ametengua uteuzi wa Bi. Catherine Michael Mashalla, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manisapaa ya Sumbawanga.
Serikalini kuna vyeo vingi sana
 
Yashatuchosha haya mambo. Kila siku teuzi na tenguzi lkn hakuna cha maana kinafanyika ktk maisha na maendeleo ya watanzania na taifa kwa ujumla.

Hakuna hata haja ya kuwajulisha watanzania, awe anafanya kimya kimya na kuapisha kimya kimya.
Kila siku unatongoza na kuacha ma baa medi, nani kakushangaa?
 
Tanzania 🇹🇿 yangu hii kweli unahitaji mlolongo wa nyadhifa zote hizi?,zingine sijawahi hata kuzisikia!,tume ya kurekebisha sheria,sheria zipi zinazorekebishwa?Bunge halihusiki hapo!,judiciary ipo captured na politicians hapa nchini ndio maana wanatukanwa na kudhalilishwa na wamefyata mikia yao,salute kwa CJ pekee nchini aliyeiendesha idara hii kwa umahiri mkubwa,Francis Nyalali(MHSRIP)
 
Wakishiba hao, wanaletwa wengine
Yaani majina ni yale yale aliyowekewa juu ya meza kabla ya kazi
Ni mwendo wa kucheza draft tu sasa
 
Huyu ded kuna mtumishi kafanya sherehe jana na leo aliko manake alijua kumchukia boss wake toka akiwa halmashauri mupimbwe katavi
Ambako kesi yake ded inasomwa huko

Mungu amsaidie yeye na wengine

Mvhezo mchafu waliofanya watu wasiowaminifu wezi umewaponza mpaka wasiohusika
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

i) Amemteua Mhe. Jaji Winfrida Beatrice Korosso kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT). Mhe. Jaji Korosso ni Jaji wa Mahakama ya Rufani.

ii) Amemteua Bi. Bibiana Joseph Kileo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Kabla ya uteuzi huu Bi. Kileo alikuwa Mkuu wa Mashtaka Mkoa (RPO), Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Mwanza.

iii) Amemteua Bi. Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mtulo alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Kesi na Udhibiti Ubora, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.

iv) Ametengua uteuzi wa Bi. Catherine Michael Mashalla, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manisapaa ya Sumbawanga.
Sumbawanga ipelelewe Mkurugenzi mwenye busara siyo Huyo Mwizi wa Mpanda aliyeamuru Stendi ya zamani isitumike Kwa magari ya ndani ya mkoa huku Wananchi wakipata taabu ya kwenda nje ya mji zaidi ya km 15 halafu anarudi tena mjini km 15.
 
Back
Top Bottom