BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Prof. Ahmed M. Ame ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA).
Amemteua Eliud Betri Sanga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Airtel Tanzania akichuku nafasi ya Gabriel Malata aliyeteuliwa kuwa Jaji.
Jaji Mstaafu Mathew P.M. Mwaimu kuwa Mwenyekiti na Mohamed. K. Hamad kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kipindi cha pili.
Pia, Rais Samia amewateua Thomas P. Masanja, Amina T. Ali, Khatibu M. Khatibu na Nyanda J. Shughuli kuwa Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Amemteua Eliud Betri Sanga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Airtel Tanzania akichuku nafasi ya Gabriel Malata aliyeteuliwa kuwa Jaji.
Jaji Mstaafu Mathew P.M. Mwaimu kuwa Mwenyekiti na Mohamed. K. Hamad kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kipindi cha pili.
Pia, Rais Samia amewateua Thomas P. Masanja, Amina T. Ali, Khatibu M. Khatibu na Nyanda J. Shughuli kuwa Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.