Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Said Kiondo Athumani kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Kabla ya uteuzi Said alikuwa ni Mkufunzi Mkuu Chuo cha Kodi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Kabla ya uteuzi Said alikuwa ni Mkufunzi Mkuu Chuo cha Kodi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania.