Uteuzi: Said Kiondo Athumani ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Said Kiondo Athumani kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).

Kabla ya uteuzi Said alikuwa ni Mkufunzi Mkuu Chuo cha Kodi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania.

 
Hizi text ziwe zinatumwa kuleeeee
 
Uteuzi wa kujikosha huu! Wa kujaribu kubalance baadhi ya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…