Uteuzi wa Job Masima kuwa Balozi Israel ni ishara ya Rais Magufuli kuinoa na kuiimarisha TISS


Nakupata na kwa kweli huwa napenda sana makala kama hizi ziwe "in a nutshell"

Hii inasaidia sana kutufanya wote tutafakari kwa undani.

Mkakati ni kuhakikisha kwamba uhusiano na Israel unaimarishwa na kuwa kama nilivyoeleza.

Pili, kwa kuwa waisraeli ni wazuri kwenye masuala ya usalama na jeshi, basi watafanya kama nilivyoeleza pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…