Uteuzi wa Kamishna mpya wa TRA kutoka Zenji. Je, Zanzibar kugeuka uchochoro wa ukwepaji kodi?

Uteuzi wa Kamishna mpya wa TRA kutoka Zenji. Je, Zanzibar kugeuka uchochoro wa ukwepaji kodi?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Yale malalamiko kwamba bidhaa toka Zanzibar zinapigwa kodi zikiletwa bara nadhani sasa ndio itakuwa mwisho. Wafanyabiashara watakwepa kulipa ushuru bara, badala yake wataenda kushushia Zanzibar kwenye kodi nafuu, kisha watavusha kuja bara bila kulipa tena kodi?

Kwahiyo bidhaa zinazoingizwa bara kwa sasa kodi itakuwa inakusanywa na ZRA na kutumika huko huko?

Pia soma Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara
 
ZRA ilikua ni ZRB , TRA wapo palepale, ni kuongeza tu ufanisi hakuna kitu kipya hapo
 
Yale malalamiko kwamba bidhaa toka Zanzibar zinapigwa kodi zikiletwa bara nadhani sasa ndio itakuwa mwisho. Wafanyabiashara watakwepa kulipa ushuru bara, badala yake wataenda kushushia Zanzibar kwenye kodi nafuu, kisha watavusha kuja bara bila kulipa tena kodi?

Kwahiyo bidhaa zinazoingizwa bara kwa sasa kodi itakuwa inakusanywa na ZRA na kutumika huko huko?

Pia soma Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara
Nimeona sehemu kuwa aliwahi kuwa Meya Wa Kinondoni
 
Back
Top Bottom