kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Watu wote nchini wako wilayani na wanaishi wilayani. Wilaya ndio uti wa mgongo wa taifa na uti wa mgongo wa maisha yote ya watu. Ukikosea kwenye wilaya utakosea kwenye taifa pia. Hivyo kiongozi mkuu wa wilaya lazima awe mwenye elimu, ujuzi na uzoefu wa kuongoza watu badala ya kuchagua kwa kubalance mambo fulanifulani.
Je, ili kuwa DC ni vitu gani vinaangaliwa?
Je, ili kuwa DC ni vitu gani vinaangaliwa?