Za majukumu wadau! Naomba kwa mwenye kujua hawa watu wanaoitwa makatibu wa utumishi wa walimu hupatikanaje? kama wanateuliwa ni nani huwateua na taarifa zao za mwezi huwa wanazitoa kwa nani? Naombeni uelewa huu tafadhali
Za majukumu wadau! Naomba kwa mwenye kujua hawa watu wanaoitwa makatibu wa utumishi wa walimu hupatikanaje? kama wanateuliwa ni nani huwateua na taarifa zao za mwezi huwa wanazitoa kwa nani? Naombeni uelewa huu tafadhali