Kuteuliwa kwa marehemu Milton Lupa kuwa DED huko Kilolo Iringa kumeleta tafsiri tofauti vichwani mwa watu. Je, waliopo hai nafasi hawapewi, wanapewa marehemu?
Au walio hai hawatoshi au hawafai?
Serikali imekaa kimya bila kulitolea ufafanuzi jambo hili.