Uteuzi wa Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)

Uteuzi wa Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
TEUZI WA MKUU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA - CВЕ
21 Novemba, 2023, DODOMA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.), kwa Mamlaka aliyo nayo kwa mujibu wa Sheria ya Chuo cha Elimu ya Biashara Sura 315 na marekebisho yake ya mwaka 2020 kifungu 14(6B) (1) amemteua Prof. Edda Tandi Lwoga kuwa Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

Uteuzi huu umeanza Novemba 17, 2023.

Snapinsta.app_404384690_18046711486530107_6102761111877739476_n_1080.jpg
 
TEUZI WA MKUU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA - CВЕ
21 Novemba, 2023, DODOMA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.), kwa Mamlaka aliyo nayo kwa mujibu wa Sheria ya Chuo cha Elimu ya Biashara Sura 315 na marekebisho yake ya mwaka 2020 kifungu 14(6B) (1) amemteua Prof. Edda Tandi Lwoga kuwa Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

Uteuzi huu umeanza Novemba 17, 2023.

Safi sana yuko smart na mchapakazi 👍👍👍💯💯💯
 
Hongera sana Prof Lwoga. Tafadhali shughulikia au fumua watu wanaoitwa HOD hawsaidii kabisa kutatua tatizo la matokeo ya watoto wanafunzi, wamegeuka miungu watu wanakosesha vijana kusoma vizuri.
Hili swala la matokea hayajapanda kwenye system ya mtandao ya cosis, hawana emotional intelligence ya kusaidia watoto.
 
Back
Top Bottom