Uteuzi wa wajumbe katiba mpya: Afadhali mganga wa kienyeji kuliko mpentekoste?

Uteuzi wa wajumbe katiba mpya: Afadhali mganga wa kienyeji kuliko mpentekoste?

mshunami

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
4,256
Reaction score
1,942
Nimeshangazwa na maelezo kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anaingia ktk bunge la Katiba kuwakilisha Waganga wa kienyeji na kuwasemea huko. Lakini pia wiki hii Maaskofu na Wachungaji waandamizi wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste (PCT) walifanya kikao na kulalamika kuwa walipeleka majina yao katika ofisi ya uteuzi na hakuteuliwa hata mmoja wao.

Najiuliza kuwa hivi yule aliyekuwa anateua, hawa Wapentekoste ambao kwa kweli ni wengi sana nchi hii, na Waganga wa kienyeji nani ambao wangepewa uwakilishi? Ama ni dharau kwa Wapentekoste?

TUSEME AFADHALI MGANGA WA KIENYEJI KULIKO MPENTEKOSTE? Swali hiuli nalielekeza kwa JK kwani ndiye aliyeteuwa japo sijui kama anasoma JF!

Wapentekoste kwa hili wamedharauliwa sana!!!
 
Na mi nnimeshanga!
hapa suala zima ni Kingunge ataingiaje kwenye hili Bunge! Na wala si uganga ama upentecoste, iwapo wapentecoste na wengine hata wahindi ama jumuiya yoyote ile ingepeleka jina la Kingunge basi lazima angeteuliwa tu! Kingunge ni mwenzetu jamani kwa nini mnafanya hiana hivyo?
 
Nimeshangazwa na maelezo kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anaingia ktk bunge la Katiba kuwakilisha Waganga wa kienyeji na kuwasemea huko. Lakini pia wiki hii Maaskofu na Wachungaji waandamizi wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste (PCT) walifanya kikao na kulalamika kuwa walipeleka majina yao katika ofisi ya uteuzi na hakuteuliwa hata mmoja wao.

Najiuliza kuwa hivi yule aliyekuwa anateua, hawa Wapentekoste ambao kwa kweli ni wengi sana nchi hii, na Waganga wa kienyeji nani ambao wangepewa uwakilishi? Ama ni dharau kwa Wapentekoste?

TUSEME AFADHALI MGANGA WA KIENYEJI KULIKO MPENTEKOSTE? Swali hiuli nalielekeza kwa JK kwani ndiye aliyeteuwa japo sijui kama anasoma JF!

Wapentekoste kwa hili wamedharauliwa sana!!!

Wapentekoste sio wakristo?
 
kama yupo ebu taja Mpentekoste m1 anayekidhi haja ya JK aingie kwenye bunge
 
Nuru na giza havichangamani:
Huoni hata hao waliobaatika kuwa wabunge wameshamezwa wala mungu hawamkumbuki tena,
nimefedheheshwa na kitendo hicho,
nimeuzunishwa sana,
ninasema huo ni ubaguzi wa hali ya juu haufumiliki tena,

wakirsto shitukeni tunauliwa huku tukichekewa,

uwakilishi zanzbar wote ni waislamu inamaana kule hakuna wakristo?

Mnachekewa tu nakuambiwa 15 bara 15 zanzibar ukija kulinganisha idadi unakuta 5 wakristo 25 waislam,
nimesema wakristo shitukeni,
na kiongozi yeyote wa kikirsto ambaye anarubuniwa tumpinge hadharani,

nilishangaa kweli siku moja bungeni mama jenista muagama pokea shukurani zangu za dhati,
walikuja na sheria eti wazee wa mahakama nilazima wawe waislam tena wanaoijua quruani vizuri
mibunge wakristo wanaona kabza wanachinjiwa baharini wakakaa kimya mpaka pale joseph machare aliposimama na kupinga bla ya mbunge yeyote mkristo kumpa sapoti,
nawerema naye akikubaliana na hoja mpaka pale mwenyekiti wa bunge alipoingilia kati na kupangua hoja

hongera jenista mwagama,
 
Na mi nnimeshanga!

Sipendi ushabiki wa kidini lakini kama hao Wapentekoste hawakupendekeza mtu mwenye mtazamo wa kisiasa hasa kutoka kile chama tawala unategemea nini? Halafu wala wapetekoste wasijali maana katiba ya sasa inaenda kuandaliwa na CCM wala sio matakwa ya wananchi kwahiyo wasijali hapo mbeleni watakuwepo tutakapotengeneza ya wananchi wa Tanzania.
 
Sipendi ushabiki wa kidini lakini kama hao Wapentekoste hawakupendekeza mtu mwenye mtazamo wa kisiasa hasa kutoka kile chama tawala unategemea nini? Halafu wala wapetekoste wasijali maana katiba ya sasa inaenda kuandaliwa na CCM wala sio matakwa ya wananchi kwahiyo wasijali hapo mbeleni watakuwepo tutakapotengeneza ya wananchi wa Tanzania.
yaani nimeshangaaa...
 
SIKILIZA HII...
Mfumo wa serikali ya Tanzania una tambua WAKRISTO wa Roman Catholic, na CCT(Anglican, Lutheran, Menonite, Moravian) lakini HAUTAMBUI Wapentekoste ndio maana hata sikukuu za kikristo kamwe hutasikia kitaifa zikisomwa kwenye makanisa ya PENTEKOSTE.

Kwa WAISLAM wanaotambuliwa ni SUNNI pekee, hamna cha SHIA, ANSAAR SUNNA, AHMADIYYA wala nani sijui.
Hii sio nzuri
 
Sipendi ushabiki wa kidini lakini kama hao Wapentekoste hawakupendekeza mtu mwenye mtazamo wa kisiasa hasa kutoka kile chama tawala unategemea nini? Halafu wala wapetekoste wasijali maana katiba ya sasa inaenda kuandaliwa na CCM wala sio matakwa ya wananchi kwahiyo wasijali hapo mbeleni watakuwepo tutakapotengeneza ya wananchi wa Tanzania.

Uko juu mkuu
Waache CCM wafiche vichwa, waache viwiliwili nje
 
yaani JK amewadharau sana wapentecoste kwani hao sio watanzania na kwanini ameamua kufanya hivyo kwani katiba itakayotoka itakuwa ni ya watanzania wachache tu haoni alichofanya si kizuri kabisa kwanini ameamua kufanya hivyo ndio maana watu wanalalamika ksana juu ya uteuzi huu alioufanya amekosea na ni aombe msamaha kwa wapentecoste kwan amewadharau kupita maelezo yaani hata mm nimeshangaa sana niliposoma uteuzi hule kweli si busara hata kidogo kutenga wanadini fulani wasihusishwe kwenye hiyo katiba amekosea sana kuwaweka waganga wa kienyeji hao wakina K halafu kuwaacha viongozi wa dini hiyo si nvyema kabisa kabisa
Nimeshangazwa na maelezo kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anaingia ktk bunge la Katiba kuwakilisha Waganga wa kienyeji na kuwasemea huko. Lakini pia wiki hii Maaskofu na Wachungaji waandamizi wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste (PCT) walifanya kikao na kulalamika kuwa walipeleka majina yao katika ofisi ya uteuzi na hakuteuliwa hata mmoja wao.

Najiuliza kuwa hivi yule aliyekuwa anateua, hawa Wapentekoste ambao kwa kweli ni wengi sana nchi hii, na Waganga wa kienyeji nani ambao wangepewa uwakilishi? Ama ni dharau kwa Wapentekoste?

TUSEME AFADHALI MGANGA WA KIENYEJI KULIKO MPENTEKOSTE? Swali hiuli nalielekeza kwa JK kwani ndiye aliyeteuwa japo sijui kama anasoma JF!

Wapentekoste kwa hili wamedharauliwa sana!!!
 
kabisa sio nzuri kabisa kwani na wao si watanzania jamani yaani huu mfumo sijui tuubadilisheje hawa watawala wanauzi sana hasa serikali ya kikwete hiyo ccmu ni vyema watanzania tuamke sasa kwani ccm imetuloga sana tumeabaki waoga wa mambo yetu
SIKILIZA HII...
Mfumo wa serikali ya Tanzania una tambua WAKRISTO wa Roman Catholic, na CCT(Anglican, Lutheran, Menonite, Moravian) lakini HAUTAMBUI Wapentekoste ndio maana hata sikukuu za kikristo kamwe hutasikia kitaifa zikisomwa kwenye makanisa ya PENTEKOSTE.

Kwa WAISLAM wanaotambuliwa ni SUNNI pekee, hamna cha SHIA, ANSAAR SUNNA, AHMADIYYA wala nani sijui.
Hii sio nzuri
 
Back
Top Bottom