Daniel Muhina
Member
- Jun 16, 2012
- 38
- 12
Ndg wana JF, kumekuwa na mkanganyiko mkubwa juu ya uteuzi wa wajumbe wa tume ya mabadiliko ngazi ya kata kuwa wajumbe wanaostahili kupiga kura ni kina nani? Wataalamu hawaruhusiwi kupiga kura, je kama mkiti amegombea na ameshinda/ameshindwa haruhusiwi kupiga kura,wagombea hawaruhusiwi kuwepo eneo la uteuzi?
Binafsi nimefatilia hata kwenye Mwongozo uliotolewa na tume hautamki mambo hayo kibaya zaidi hata baadhi ya wadau ngazi ya wilaya walioteuliwa kuratibu shughuli hizi hawana uelewa wa kutosha.
Naomba yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya nilichokiuliza hapo juu anijuze kwa chanzo sahihi za taarifa zake NB Tovuti yao haijitoshelezi kupata majibu kwa muda muafaka
Binafsi nimefatilia hata kwenye Mwongozo uliotolewa na tume hautamki mambo hayo kibaya zaidi hata baadhi ya wadau ngazi ya wilaya walioteuliwa kuratibu shughuli hizi hawana uelewa wa kutosha.
Naomba yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya nilichokiuliza hapo juu anijuze kwa chanzo sahihi za taarifa zake NB Tovuti yao haijitoshelezi kupata majibu kwa muda muafaka