MAULA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,056
- 170
Jaman kunautafiti flan ambao na mi nimeufuatilia nimeona inawezekana unaukwer.
kua % kubwa ya wanawake wanaopata UTI ni wanajihusissha sana na Ngono kwa njia ya mdomo yaan
wanaita kuzamwa chumvin n.k.......
Katika kufuatilia nimeona kuwa kunaukwer wanawake wengi ambao wanapatwa na UTI pia ni washiriki sana wa hili tendo. Mdomo huwa na bacteria mbalimbali ambao pindi wakutanapo na Uke huwa au huleta madhara kwa wanawake hawa hususan ambao wanakua na kiwango kidogo cha acid ambayo hutumika kama mlinzi wa mazingira ya uken .
Bacteria hao huingia na kuanzisha makazi ukene na ndipo madhara huanza kuonekana.
My take tuache tabia hz.
kua % kubwa ya wanawake wanaopata UTI ni wanajihusissha sana na Ngono kwa njia ya mdomo yaan
wanaita kuzamwa chumvin n.k.......
Katika kufuatilia nimeona kuwa kunaukwer wanawake wengi ambao wanapatwa na UTI pia ni washiriki sana wa hili tendo. Mdomo huwa na bacteria mbalimbali ambao pindi wakutanapo na Uke huwa au huleta madhara kwa wanawake hawa hususan ambao wanakua na kiwango kidogo cha acid ambayo hutumika kama mlinzi wa mazingira ya uken .
Bacteria hao huingia na kuanzisha makazi ukene na ndipo madhara huanza kuonekana.
My take tuache tabia hz.