drugdealer
Senior Member
- Nov 8, 2024
- 133
- 245
JamiiForums doctors mkuje mtujuze hii changamoto mbona UTI imepamba moto kwa miaka ya hivi karibuni na kibaya zaidi inazidi kuwa na nguvu zaidi ni kama bacteria wafenyafanya kuji-update tofauti na miaka ya nyuma miaka ya 90's.