Hapa jukwaani anagombana na wanaume wa aina hiyo anawasema kuwa ni wababe, wanyanyasaji, na kadhalika. Sasa ataishi nao vipi, yeye anataka wale maboya wenye akili za "mama kasema".Anayeweza kuishi na Jadda ni mwanaume mwenye akili timamu mwenye IQ kubwa
Umeandika jambo la kweli na la maana sanaKutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa usichana au umri wa kuchumbiwa na kuolewa.
Ila asili au nature ilivyo na power katika kufundisha kanuni zake za asili bila kupangiwa au kubembeleza mtu utashangaa sana binti akisha chezewa sana mwili wake akafikia ule umri wa utu uzima yaani 30,then mwili unaanza kupungua mvuto, anaanza kuwa na muonekano wa kimama, automatically utashangaa anaanza kuwa na adabu na yale mawenge, machepele, viburi, dharau ghafla hupotea anaanza kuwa na mwenendo wa utaratibu na anatengeneza haiba ya kukua kiakili.
Huwa najiuliza why huwa mnakwepa kitu ambacho mtakuja kukifanya siku za baadae tena kwa lazima?
Hapa tunaongea swala la utii na adabu kwa mwanaume ila mabinti kama akina Jadda watakaza fuvu kabisa na majibu ya kejeli ila subiri umri ufike. Kama kuna kamera za kuwamulika hamtaamini kuwa ndio wataufyata kuliko wale ambao ndio watii kwasasa.
Usiponyooka utanyooshwa, maisha hayajawahi na wala hatakuja kuwahi kubembeleza mtu, utakwenda vile yanavyotaka. Kanuni ya kutii mume na mke kupendwa ni ya miaka ya enzi na enzi. Wewe mtoto wa 1990's uje kuleta kanuni zako na kuamulia jamii iende kwa fikra zako utajua haujui, mtego utakapokufyatukia ndipo utaelewa maisha ni kama upepo, yapo ila hayashikiki.
Unaongea as if kitu cha kwanza mwanamke anatakiwa kupitia ni manyanyaso katika ndoa. Unaweza kutupa uhakika kuwa wanawake wote hunyanyasika na huwa wanapitia aina gani za manyanyaso ambazo ni common?Kwahiyo unataka wanawake tunyanyasike na bado tuwatii?!!! Kila binadamu anazaliwa na utii, lakini likija suala la dharau, kejeli na manyanyaso sahau mtu kukutii.
Halafu nyie wanaume wa kibongo mnapenda KUABUDIWA km miungu watu.!!
So utii unauzwa? Hiyo si ndio nidhamu ya uoga? Kama utii unauzwa basi ndio maana wanaume wanakuwa na options nyingi nje maana wanajua sio genuine submission mnazowapa.Mahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanatia hasira hawa viumbe, pesa hawana halafu wanataka tuwatii.!!! Uliona wapi Nchi inaendeshwa bila PESA??
Anapiga tu maneno hapa, true story ipo mtaani. Haka lazima katakichezea kwanza mimba lazima ihusike.Nimeelewa ndio maana nikauliza vp katika situation ambazo hamkai pamoja au na mwanamke ana uwezo wa kujihudumia? Kwamba mwanaume utawajibika kumgharamia kodi, chakula, mavazi n.k wakati hamuishi pamoja? Hata mke akiwa na kazi bado mwanaume anawajibika kuhudumia
Waliopo uko mtaani ndio hawa hawa wa jf. Wewe ni keyboard warrior tu ila mahubiri yako hauwezi kuya-apply kwenye mahusiano yako.
Pesa sio sababu ya mwanaume kuwa au kutokuwa na sauti. Unaweza ukawa wewe mwanamke ndie mwenye pesa ila mamlaka na sauti ya mwisho ni ya mume wako maana ndie captain wa familia.Unajifanya kuwa na sauti na pesa huna!!! Aaah huo ni mtindio wa ubongo.
Usiseme ni wangapi as if ni kitu cha kuona kwa nadra. Sema wewe umejifungia ndani au umezungukwa na kampani ya wadada ambao hawapo kwenye mahusiano.Hebu achana na theories ni wanawake wangapi wenye utii wanapata mahitaji yao yote toka kwa waume zao wa ndoa
Kuna nyani wenzako wanahudumiwa lkn bado hawana utii kwa wanaume zaoAcheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Na ndio maana wengi wa ninyi mabinti wa kisasa mahusiano yanawashinda sababu mnayatazama kama biashara. No wonder hamtii wanaume zenu ila mkienda sehemu za biashara mnajenga mazoea ya hovyo na mabosi zenu au wafanyabishara wakubwa sababu wanawavutia kwa pesa zao.Shangaa na wewe!! Hata mataifa makubwa ili yawamiliki mataifa madogo lazima wawe na PESA.
Hivi nchi km Tanzania inaweza kumvimbia Marekani?? Awwwweh wanaume watafute PESA. Halafu hizi kelele huwezi kuzisikia kwa kina GSM ila hawa ving’ong’o wavivu wavivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanaume mlevi, hatunzi familia, hamheshimu mkewe anamletea mahawara hadi ndani nae anastahili heshima? Nyie mna utani
Kila mwanamke m'moja useless anapokengeuka kuna kontena jipya la watoto wabichi linashuka na kuingia umri wa kuanza mahusiano kila mwaka. Haumkomoi mtu.[emoji23][emoji23][emoji23] Hilo ndio la umuhimu, kila mtu ashinde mechi zake
Shida ipo wapi kama anataka mkewe ndie ampe kikombe si ndio mapenzi anayotaka, akianza kumuambia House girl amletee vitu wewe mwanamke utavumilia ? [emoji23]Tena hao wanautaka utumwa sio utii yaani akioa leo anavunjika mikono na miguu hata kikombe kiko karibu yake anataka umletee [emoji2955]
Huku ni kupotoka next level. Heshima kuwa earned haimaanishi sasa mwanamke ubargain na mwanaume muda, wakati na mazingira ya kumpa heshima, kama heshima yako ni conditional then hiyo siyo heshima ni maigizo ya heshima.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona ving'ong'o!! Ndio hawa kila siku kutupigia kelele humu. Heshima is earned bwana, sasa kama huipati jitafakari. Seems huistahili.
Hapa unaonekana unaongea tu just for the sake ya kutoa povu but deep inside mimi na wewe tunajua hauna unachojua kwa uliyoyasema.Tatizo kubwa walilonalo wanataka kuabudiwa “NDIYO MZEE” sasa wa kumfanyisha huo upuuzi nani?? Kwanza nikifikiria kukipikia kitoto cha mtu na kukifulia na bado hakina PESA hata nisikie matarumbeta ya ndoa sishtuki
Kwasababu one doesn't relate to the other directly. Heshima au utii sio matokeo ya kuhudumiwa na mume au mchumba wako ni matokeo ya malezi ya wazazi yanayokuelekeza kuishi vizuri na watu. Kumtii mwanaume wako haijapishana na unavyomtii baba yako, kaka yako, mjomba wako, baba mwenye nyumba wako, bosi wako etc.Kama unaona mwanaume hawajibiki kumhudumia mpenzi kwanini uone ni sawa mwanamke kumtii mpenzi
Ndio maana nasema wewe una matatizo ya akili, huwezi ukawa unaongelea my personal issues kwa confidence kiasi hiki kana kwamba unanijua kumbe hata hunifahamu, na huna uhakika hata kama ulichoandika kuhusu mimi ni ukweli au la ila basi tu umeamua kujiandikia ili mradi kujifariji
Wewe kutokumheshimu mwanaume wako tayari ni dosari kubwa ambayo hata akikuacha hakuna sehemu utasurvive sababu ukienda kwingine utatazama pesa tu na ndicho kitu kinachowaponza mabinti wa kisasa wengi wenu mnaingia kwenye mahusiano na akili za kidangaji kutafuta maokoto then mnasema wanaume wamebadilika hawajui matunzo.Wafanye km bible inavyosema waone km watapiga kelele za kuomba kuheshimiwa..!!
Ni ving’ong’o kweli wala sio utani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kitu ambacho huwa kinanichekesha kuhusu mabinti wajuaji ni kujipa hopes za kupata wanaume wanaofanania na hawa hawa wanaowaletea ujuaji na kugombana nao.Mwanaume kamili hawezi ishi na wewe, hata kama atakuwa anajielewa ila lazma kuna vitu hatoweza torelate kuna dynamics unazo lazma atazishindwa tu