Satoshi Nakamoto
Senior Member
- May 28, 2017
- 110
- 464
Mtakua mmeshuhudia kwamba kuna shule karibia asilimia 90 wamepata 1.7, means karibia darasa zima kila mtoto ana A masomo yote.
Nimejiuliza maswali kadhaa nimekosa majibu:
1. Je, zamani tulikua vilaza? Kiasi kwamba nchi nzima div. 1 point 7 unakuta hazifiki hata 20, na utazikuta chache Ilboru, Mzumbe na Kibaha.
2. Au mitihani ya zamani na ya sasa hivi imekua tofauti kiasi kwamba watoto this time wanatusua sana?
3. Au mitoto ya siku hizi mingi ni mi jiniaz?
4. Au janja janja imekua nyingi especially kwenye shule za private kiasi cha watoto wengi kupata A karibia masomo yote?
Nimejiuliza maswali kadhaa nimekosa majibu:
1. Je, zamani tulikua vilaza? Kiasi kwamba nchi nzima div. 1 point 7 unakuta hazifiki hata 20, na utazikuta chache Ilboru, Mzumbe na Kibaha.
2. Au mitihani ya zamani na ya sasa hivi imekua tofauti kiasi kwamba watoto this time wanatusua sana?
3. Au mitoto ya siku hizi mingi ni mi jiniaz?
4. Au janja janja imekua nyingi especially kwenye shule za private kiasi cha watoto wengi kupata A karibia masomo yote?