Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kila mtu anajua kinachoendelea hapa nchini ikiwa ni jitihada za Serikali na CCM kuhakikisha Chadema hawafanikiwi.
Jana ktk Mkutano wa Nyamongo Tarime Uwanja wa Umma umefungwa na kulindwa na askari wenye silaha kwa lengo la kuzuia Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu asidanye mikutano.
Hata hivyo umati wa watu ni mkubwa sana kupita kiasi.
Tundu Lissu aliwambia mnazuia Uwanja lakini hamuwezi kuzia Watu.
Amewapiga madongo kwa kudai kwamba Waziri Mkuu Msaidizi alianza Mkutano kwa kubeba wananchi Mkoa mzina ili kufikisha Idadi kama yake Kwenye kijiji
View: https://youtu.be/3kYpeM5PVkE?si=8sZ_XKaZe9JKPEBO
Amesema wao ni watu wa ahaki na watu wanafata Kusikiliza wapigania Haki na sio Uwanja. Ndio maana watu wanajaaa.
Jana ktk Mkutano wa Nyamongo Tarime Uwanja wa Umma umefungwa na kulindwa na askari wenye silaha kwa lengo la kuzuia Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu asidanye mikutano.
Hata hivyo umati wa watu ni mkubwa sana kupita kiasi.
Tundu Lissu aliwambia mnazuia Uwanja lakini hamuwezi kuzia Watu.
Amewapiga madongo kwa kudai kwamba Waziri Mkuu Msaidizi alianza Mkutano kwa kubeba wananchi Mkoa mzina ili kufikisha Idadi kama yake Kwenye kijiji
View: https://youtu.be/3kYpeM5PVkE?si=8sZ_XKaZe9JKPEBO
Amesema wao ni watu wa ahaki na watu wanafata Kusikiliza wapigania Haki na sio Uwanja. Ndio maana watu wanajaaa.