iPhone 5S
Senior Member
- Jun 6, 2014
- 158
- 102
Wapendwa wana JF,
1. Napenda kufahamu je ule utaratibu wa Mtumishi wa Serikali kuwa exempted kulipa kodi anapoingiza gari nchini bado upo au kwa sasa umefutwa?
2. Naomba kufahamishwa: Ikiwa nimeagiza gari kutoka nje lets say UK au Japan, na hiyo gari ina miaka zaidi ya kumi (najua ikiwa zaidi ya miaka 10 exemption ilikuwa haitahusika coz will be considered as chakavu), je gharama ya uchakavu kwa huwa wana-charge asilimia ngapi ya gharama za hilo gari.....?
3. Mwisho ni kuwa nataka kuagiza gari aina ya Nissan NIVARA....ya 2003 kutoka UK, mwenye ushauri kuhusu uzuri au matatizo ya gari ya aina hiyo naomba anaiambie...hapa jamvini...kwa faida yangu na members wengine pia.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Ahsanteni.
1. Napenda kufahamu je ule utaratibu wa Mtumishi wa Serikali kuwa exempted kulipa kodi anapoingiza gari nchini bado upo au kwa sasa umefutwa?
2. Naomba kufahamishwa: Ikiwa nimeagiza gari kutoka nje lets say UK au Japan, na hiyo gari ina miaka zaidi ya kumi (najua ikiwa zaidi ya miaka 10 exemption ilikuwa haitahusika coz will be considered as chakavu), je gharama ya uchakavu kwa huwa wana-charge asilimia ngapi ya gharama za hilo gari.....?
3. Mwisho ni kuwa nataka kuagiza gari aina ya Nissan NIVARA....ya 2003 kutoka UK, mwenye ushauri kuhusu uzuri au matatizo ya gari ya aina hiyo naomba anaiambie...hapa jamvini...kwa faida yangu na members wengine pia.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Ahsanteni.