Utoaji wa leseni mpya umegeuzwa mradi kwa polisi na tra

Utoaji wa leseni mpya umegeuzwa mradi kwa polisi na tra

Jarid x

New Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Jamani hivi watanzania tutaendelea lini?ni lini njaa na tamaa zitatuishia?sasaivi zimekuja leseni mpya,walisema ya kwamba hizo leseni hazita tolewa kizembe na kwawale waliopata leseni kiuwizi wasahau tena vya denzo denzo,lakin sasa mambo ni tofauti we toa pesa kwanza unapata leseni alaf gari utajifunza badae,haya ni mambo yanayo endelea huko tra na polisi,vilevile polisi wanao hoji maswali wana uliza maswali magum ili mtu ufeli alaf utoe hela.......tra watakuuliza cheti cha driving school na kama hauna basi unatoa shilingi elfu kumi tu na mchakato unaendelea,hivi kwa hayo mambo tuna dhani ajari zitaisha?na tanzania bila rushwa haiwezekani.....nimeandika mambo niliyo ya ona na sio kusimuliwa,,tu tafakari
:mmph::mmph::mmph::mmph:
 
Jamani hivi watanzania tutaendelea lini?ni lini njaa na tamaa zitatuishia?sasaivi zimekuja leseni mpya,walisema ya kwamba hizo leseni hazita tolewa kizembe na kwawale waliopata leseni kiuwizi wasahau tena vya denzo denzo,lakin sasa mambo ni tofauti we toa pesa kwanza unapata leseni alaf gari utajifunza badae,haya ni mambo yanayo endelea huko tra na polisi,vilevile polisi wanao hoji maswali wana uliza maswali magum ili mtu ufeli alaf utoe hela.......tra watakuuliza cheti cha driving school na kama hauna basi unatoa shilingi elfu kumi tu na mchakato unaendelea,hivi kwa hayo mambo tuna dhani ajari zitaisha?na tanzania bila rushwa haiwezekani.....nimeandika mambo niliyo ya ona na sio kusimuliwa,,tu tafakari
:mmph::mmph::mmph::mmph:
Ndiyo nchi yetu, siku hizi mpaka wanafunzi wanajua kwamba ukitaka kitu kwenye taasisi mbalimbali mpaka utoe pesa.Unadhani rushwa itaisha.
 
Back
Top Bottom