Bank cha kwanza hawaangalii dhaman wanaangalia unafanya nn kupata hela,,unaweza kupata shiling ngap ktk mwezi,unatumia sh ngp ktk huo mwezi,ziada inayobaki ni sh ngp kwa huo mwez,unaweza kurudisha vip kila mwez then ndio wanakuja kwenye suala la dhamana uliyonayo... Kiwanja kwa benk kama acces unakopa tu ili mrad uwe na biashara