Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,450
- 600
mainda asema utoaji wa mimba kwa bongo movie ni jambo la kawaida

UTOAJI wa mimba kwa wasanii wa bongo movie sasa ni kama mtindo fasheni kwani usipofanya hivyo unaweza kuonekana mshamba wa mji.....
Msanii wa tasnia hiyo, Mainda, ametoa ushahidi wake kuwa aliwahi kumshudia mmoja wa mastaa wa tasnia hiyo akitoa mimba tena nyumbani kwake.......
Msanii huyo ameieleza Gumzo kuwa wapo wasanii wengi wa tasnia hiyo ambao wanapata mimba lakini walio wengi wanazitoa.
chanzo:mainda asema utoaji wa mimba kwa bongo movie ni jambo la kawaida - BongoClan

UTOAJI wa mimba kwa wasanii wa bongo movie sasa ni kama mtindo fasheni kwani usipofanya hivyo unaweza kuonekana mshamba wa mji.....
Msanii wa tasnia hiyo, Mainda, ametoa ushahidi wake kuwa aliwahi kumshudia mmoja wa mastaa wa tasnia hiyo akitoa mimba tena nyumbani kwake.......
Msanii huyo ameieleza Gumzo kuwa wapo wasanii wengi wa tasnia hiyo ambao wanapata mimba lakini walio wengi wanazitoa.
chanzo:mainda asema utoaji wa mimba kwa bongo movie ni jambo la kawaida - BongoClan