Ma yeye katoa mimba ngapi?
Marehemu Maksi, Ray, Marehemu Kanumba, n.k.
Hawa wasanii sijui wanapata wapi ujasiri wa kuwasema wenzeao. Juzi Sinta nae anawataja wenzie kua ni Malaya.
Yaani nahisi kama wanatumia style ya kama mtu uko kwenye kundi la wezi, ikitokea ukawachomea wezi wenzako basi wewe unaweza ukaonekana sio mwizi.