Mzee wa upeo
Member
- Feb 4, 2014
- 26
- 12
Serikali imetangaza kuongezeka kwa ada kwa vyuo vya ualimu, walimu wacheti watalipa tsh 300000 badala ya 200000 ya zamani, na 400000 stashahada kwa walimu wa masomo ya sanaa(art) na 600000 kwa stashahada walimu wa masomo ya sayansi,
nachouliza hawa wote walimu wakiajiliwa mishahara inalingana lakini ada walilipa tofauti, kwanini hata mishahara isiwe tofauti, au kwanini ada wasilipe inalingana
AU WANAOPANGA MISHAHARA HAWAANGALII UTOFAUTI WA ADA?
nachouliza hawa wote walimu wakiajiliwa mishahara inalingana lakini ada walilipa tofauti, kwanini hata mishahara isiwe tofauti, au kwanini ada wasilipe inalingana
AU WANAOPANGA MISHAHARA HAWAANGALII UTOFAUTI WA ADA?