Kulupango
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 288
- 535
Kuna tangazo radioni nilisikia chuo fulani wakitangaza kozi za clinical medicine kama Udaktari ngazi ya diploma. Baadhi ya watu wakaingia kwenye mabishano juu ya hilo.
Navyoelewa mimi Kozi yao inaitwa "Clinical medicine" yaani (Utabibu wa tiba ya kitaalam)
Ambapo anaesomea kozi hiyo kwa ngazi ya cheti huitwa Tabibu msaidizi (Clinical Assistant). Anaesomea kozi hiyo hiyo kwa ngazi ya Diploma huitwa "Afisa Tabibu" au Tabibu" yaani (Clinical Officer)
Hawa watu kwa jina moja hufahamika kama (Clinician) yaani Tabibu. Ambao kazi yao kubwa ni Kutibu mgonjwa ngazi ya kwanza (frontline health worker)
Sasa kielimu kuna utofauti kati ya Tabibu na Mganga.
Mganga ni yule aliesomea masomo hayo hayo ya clinician lakini ameyasoma kwa mapana zaidi na muda mrefu zaidi, huyu Mganga kitaalamu hufahamika kama "Physician" ambae kozi yake anayosemea hufahamika kama "Medical Doctor"
Akiwa mwaka wa kwanza huitwa MD1, MD2 MD3 MD4 MD5, akihitimu ndio huitwa "Physician" kitaalam. Au huitwa "Medical Doctor" yaani "mganga wa tiba ya kitaalam"
Sasa ni upi utofauti wa Clinician na Physician.
Ukigoogle utakuta wote wana kazi moja ambayo ni Kutibu, lakini physician kuna vitu vya ziadia kwake.
Lakini kwa uwelewa wangu
Mganga ni tofauti na Tabibu, Mganga anaweza kuwa tabibu lakini tabibu hawezi kuwa mganga.
Tabibu anahusika na magonjwa ya kawaida ambapo akikutana na magonjwa complex yakimshinda magonjwa hayo ndio huyaelekeza kwa mganga (refferal). Kwasababu mganga anavipimo vingi pia ana vifaa vingi kuliko Tabibu na anaelimu kubwa zaidi kuliko Tabibu.
Mwisho.
Kwangu mimi aliesomea kozi ya Clinical Medicine yaani Tabibu kujiita Daktari ni sawa kwasababu wote wanafanya kazi moja. Na kujiita kwake Daktari sio kujiita Medical Doctor bali atajiita Clinical Doctor ambayo hii ni kozi yao ya Degree kwa ngazi ya Clinical medicine inayoitwa (Bacheler of science in Clinical Medicine).
Navyoelewa mimi Kozi yao inaitwa "Clinical medicine" yaani (Utabibu wa tiba ya kitaalam)
Ambapo anaesomea kozi hiyo kwa ngazi ya cheti huitwa Tabibu msaidizi (Clinical Assistant). Anaesomea kozi hiyo hiyo kwa ngazi ya Diploma huitwa "Afisa Tabibu" au Tabibu" yaani (Clinical Officer)
Hawa watu kwa jina moja hufahamika kama (Clinician) yaani Tabibu. Ambao kazi yao kubwa ni Kutibu mgonjwa ngazi ya kwanza (frontline health worker)
Sasa kielimu kuna utofauti kati ya Tabibu na Mganga.
Mganga ni yule aliesomea masomo hayo hayo ya clinician lakini ameyasoma kwa mapana zaidi na muda mrefu zaidi, huyu Mganga kitaalamu hufahamika kama "Physician" ambae kozi yake anayosemea hufahamika kama "Medical Doctor"
Akiwa mwaka wa kwanza huitwa MD1, MD2 MD3 MD4 MD5, akihitimu ndio huitwa "Physician" kitaalam. Au huitwa "Medical Doctor" yaani "mganga wa tiba ya kitaalam"
Sasa ni upi utofauti wa Clinician na Physician.
Ukigoogle utakuta wote wana kazi moja ambayo ni Kutibu, lakini physician kuna vitu vya ziadia kwake.
Lakini kwa uwelewa wangu
Mganga ni tofauti na Tabibu, Mganga anaweza kuwa tabibu lakini tabibu hawezi kuwa mganga.
Tabibu anahusika na magonjwa ya kawaida ambapo akikutana na magonjwa complex yakimshinda magonjwa hayo ndio huyaelekeza kwa mganga (refferal). Kwasababu mganga anavipimo vingi pia ana vifaa vingi kuliko Tabibu na anaelimu kubwa zaidi kuliko Tabibu.
Mwisho.
Kwangu mimi aliesomea kozi ya Clinical Medicine yaani Tabibu kujiita Daktari ni sawa kwasababu wote wanafanya kazi moja. Na kujiita kwake Daktari sio kujiita Medical Doctor bali atajiita Clinical Doctor ambayo hii ni kozi yao ya Degree kwa ngazi ya Clinical medicine inayoitwa (Bacheler of science in Clinical Medicine).