Siku ukisikia hawa jamaa wamefungwa na timu za ndani, ujue pesa zilizochotwa kwenye viroba kipindi kile zimeisha.
Kwa sasa wala hamna sababu ya kutarajia hawa jamaa kuwa watapoteza mechi yoyote hapa nchini.
Wamekuwa wazuri kudili na baadhi ya wachezaji wa wapinzani wao na waamuzi ili kuwapa ushindi ama ikishindikana kabisa sare kwa namna yoyote.
Utaona KMC wao walipewa pesa kuanzia msemaji wao, na baadhi ya wachezaji ambao ni utopolo lia lia.
Hiyo ni sawa na Geita gold kuna watu walishakula chao na mtaona mchezo utakavyokuwa wa maigizo.
Kwa sasa wala hamna sababu ya kutarajia hawa jamaa kuwa watapoteza mechi yoyote hapa nchini.
Wamekuwa wazuri kudili na baadhi ya wachezaji wa wapinzani wao na waamuzi ili kuwapa ushindi ama ikishindikana kabisa sare kwa namna yoyote.
Utaona KMC wao walipewa pesa kuanzia msemaji wao, na baadhi ya wachezaji ambao ni utopolo lia lia.
Hiyo ni sawa na Geita gold kuna watu walishakula chao na mtaona mchezo utakavyokuwa wa maigizo.