Utopolo matokeo yenu ya jana tunayo

Alafu utopolo kumbe jana Dom walikua na jambo lao.
mbona hata sijaona shamrashamra zozote hata kwa media sijaona chochote,
hawa washaanza kushindwa mapema hawa.
 
Wanaisema simba kuwa ile jana imepata timu dhaifu kwa kuifunga lakini wanasahau nao pia miezi kama miwili nyuma tuliwafunga magoli mengi tu sasa sijajua wao wanajiweka katika kundi gani,kiufupi wana yanga siwaelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…