Utopolo mmeahirisha tu kichapo, kichapk kipo pale pale.

Utopolo mmeahirisha tu kichapo, kichapk kipo pale pale.

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
TFF imetumia busara, imeamua kuahirisha mechi ya simba na utopolo ambayo itapangiwa siku nyingine!! Utopolo walitegemea simba ingepewa pointi 3, raha yao tu ni kwamba wamekwepa kichapo. Kwa kuliona hilo TFF wakaahirisha mchezo, sasa utopolo wamenuna! Hawawezi kugoma tena maana sasa mechi imeahirishwa kwa kufuata kanuni! Wakigoma wanashuka daraja!!
 
Back
Top Bottom