Utopolo wamsajili chama ushahidi ninao

Utopolo wamsajili chama ushahidi ninao

koboG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2016
Posts
2,763
Reaction score
5,167
Screenshot_20200809-224636.png
Not,,furaha ya mbwa koko hua haidum mkimaliza ku bwekaaaa,tutawapa na maji mshushie kama hutaki bweka
 
View attachment 1532564Not,,furaha ya mbwa koko hua haidum mkimaliza ku bwekaaaa,tutawapa na maji mshushie kama hutaki bweka
Na bado kesho ambulency ziwectayari kubeba mashabiki Wa mikia kutokana na Nucliar bomb litakapo fyatuliwa kuanzia saa8 :00 mchana.Bomb hlilo litasafiri kwa kasi ya 10820hm per 0012snd kutokea mitaa ya Maria koo na Twiga (Jangwani) moja kwa moja litaelekea upande Wa mashriki na kilos am bar at I aha kasri LA mikia sc.Hivyo mnatahadharishwa kwa wenye maradh ya moyo kukaa mbali na cm zao,pia kutofungua data kuepuka madhara zaidi.

Imetolewa na
Commando intergencia
Mkuki Wa moto
Ibn
Usikanyage majivu
Kuna moto ndani yake
 
Na bado kesho ambulency ziwectayari kubeba mashabiki Wa mikia kutokana na Nucliar bomb litakapo fyatuliwa kuanzia saa8 :00 mchana...
Utopolo ni utopolo tu hawezi badilika senzo ameanza kazi simba tu ,hatua ya mtoano club bingwa tukala za uso so hatufai kwa sasa tunataka mtu wa kutufikisha nusu final so chukueni hiro garasa
 
Utopolo ni utopolo tu hawezi badilika senzo ameanza kazi simba tu ,hatua ya mtoano club bingwa tukala za uso so hatufai kwa sasa tunataka mtu wa kutufikisha nusu final so chukueni hiro garasa
Sour grapes
 
Kitengo cha moyo wajiandae kupokea majeruhi wa moyo wakutosha akiwepo manara na mambumbumbu wote
 
*MASWALI YA KUJIULIZA KWA MASHABIKI WA SIMBA SC*

Kuhusu hisa,naona mashabiki wengi wana jibu kwa ushabiki,moja ya makosa makubwa kuwahi kufanywa ni simba kumuweka mo kama subscriber/shareholder kwenye kampuni ya simba.

Swali,
1.alitumia vigezo gani kuthaminisha hisa za simba kwamba 49% zina thamani ya bil.20??

2.kama simba ni public company, kwanini mo alipewa hisa 49% hata kabla hisa hazijapelelwa kwenye capital market???

3. Mo aliuziwa hizo hisa 49% na nani wakati share za simba hazijawahi kuwekwa kwenye capital market ambako angeweza pambana na miamba mingine yenye dhamira ya kuwekeza hata bil.100 kwenye soka ila akapewa yeye???

3.Mo anasemaje kawekeza billion 20 halafu hazionekani si kwenye akaunti ya club au yake binafsi,fedha hizo zimewekwa wapi???

4.alisema analeta mabadiriko,mabadiriko pekee yqnaonekana kwenye jezi za simba kuwa na mabango ya kampuni za mo,klabu inanufaika vipi kwa kugeuzwa maafisa masoko wa kampuni zake??? Kama alikata mpunga alimkabidhi nani au zililipwa kwa akaunti ipi??

NB. Maswali ni mengi kuliko majibu
 
*MASWALI YA KUJIULIZA KWA MASHABIKI WA SIMBA SC*

Kuhusu hisa,naona mashabiki wengi wana jibu kwa ushabiki,moja ya makosa makubwa kuwahi kufanywa ni simba kumuweka mo kama subscriber/shareholder kwenye kampuni ya simba.

Swali,
1.alitumia vigezo gani kuthaminisha hisa za simba kwamba 49% zina thamani ya bil.20??

2.kama simba ni public company, kwanini mo alipewa hisa 49% hata kabla hisa hazijapelelwa kwenye capital market???

3. Mo aliuziwa hizo hisa 49% na nani wakati share za simba hazijawahi kuwekwa kwenye capital market ambako angeweza pambana na miamba mingine yenye dhamira ya kuwekeza hata bil.100 kwenye soka ila akapewa yeye???

3.Mo anasemaje kawekeza billion 20 halafu hazionekani si kwenye akaunti ya club au yake binafsi,fedha hizo zimewekwa wapi???

4.alisema analeta mabadiriko,mabadiriko pekee yqnaonekana kwenye jezi za simba kuwa na mabango ya kampuni za mo,klabu inanufaika vipi kwa kugeuzwa maafisa masoko wa kampuni zake??? Kama alikata mpunga alimkabidhi nani au zililipwa kwa akaunti ipi??

NB. Maswali ni mengi kuliko majibu
Unaumia
Nauliza we chura unaumia??
Sisi tunachotaka ni timu kushinda kama saivi hayo mengine ya kwako
 
*MASWALI YA KUJIULIZA KWA MASHABIKI WA SIMBA SC*

Kuhusu hisa,naona mashabiki wengi wana jibu kwa ushabiki,moja ya makosa makubwa kuwahi kufanywa ni simba kumuweka mo kama subscriber/shareholder kwenye kampuni ya simba.

Swali,
1.alitumia vigezo gani kuthaminisha hisa za simba kwamba 49% zina thamani ya bil.20??

2.kama simba ni public company, kwanini mo alipewa hisa 49% hata kabla hisa hazijapelelwa kwenye capital market???

3. Mo aliuziwa hizo hisa 49% na nani wakati share za simba hazijawahi kuwekwa kwenye capital market ambako angeweza pambana na miamba mingine yenye dhamira ya kuwekeza hata bil.100 kwenye soka ila akapewa yeye???

3.Mo anasemaje kawekeza billion 20 halafu hazionekani si kwenye akaunti ya club au yake binafsi,fedha hizo zimewekwa wapi???

4.alisema analeta mabadiriko,mabadiriko pekee yqnaonekana kwenye jezi za simba kuwa na mabango ya kampuni za mo,klabu inanufaika vipi kwa kugeuzwa maafisa masoko wa kampuni zake??? Kama alikata mpunga alimkabidhi nani au zililipwa kwa akaunti ipi??

NB. Maswali ni mengi kuliko majibu

Maswali ya kiutopolo hayo!
...tunachotaka ni timu itupe furaha kwa kushinda na kutwaa makombe!
Hayo mengine ni mambo ya ndani!!
 
Back
Top Bottom