Utopolo wana mioyo laini sana

Utopolo wana mioyo laini sana

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Yaani pengo la pointi kubaki 5 wamepaniki kiasi kwangu roho zinataka kuwatoka!

Maelezo ya Manara yanaonesha jinsi hali ilivyo mbaya huko utopoloni licha ya kwamba wanaongoza ligi.

Niwakumbushe tu kuwa michezo michafu wanafanya wao na wajue sheria za soka haziwahusu waamuzi peke yao bali wachezaji pia.

Wao wanapotoa pesa ili wachezaji wa Simba wavunjwe miguu,wanadhani suala hili ni fair?
Tunafuatilia kwa karibu sana huu uhuni na tutawaanika wachezaji wanaokula mlungura wa utopolo ili wawavunje wachezaji wa Simba.

Utopolo wanatangaza wazi kuwa ubingwa kwao ni lazima kwa vyovyote vile.Huyo Manara alikiri wazi kuwa wao sio wajinga waende Tanga wiki moja kisha wafungwe.Kwamba wao watoto wa mjini.Utoto wa mjini maana yake ni nini kama si uhuni kwenye soka?

Kama mmekuja kucheza soka tucheze soka tuache mambo ya utoto wa mjini.Mpira wetu hauwezi kusonga mbele kwa tabia za kipumbavu za kujiita bingwa wa kihistoria wakati mechi za kimataifa unaboronga kila ukipewa nafasi.Huku kuboronga mechi za kimataifa ni ishara tu kwamba ubingwa umeupata kimagumashi.

Timu iliyopata ubingwa kihalali,basi itaonesha ubora wake angalau katika timu 16 bora Afrika na si ya 80.

Kumbuka ubora halisi wa timu ni pale inaposhinda makombe na kufanya vema kimataifa.Tuache huu uswahili wa eti bingwa wa kihistoria halafu unaleta wahuni wanakuja kuharibu soka
 
Yaani pengo la pointi kubaki 5 wamepaniki kiasi kwangu roho zinataka kuwatoka!

Maelezo ya Manara yanaonesha jinsi hali ilivyo mbaya huko utopoloni licha ya kwamba wanaongoza ligi.

Niwakumbushe tu kuwa michezo michafu wanafanya wao na wajue sheria za soka haziwahusu waamuzi peke yao bali wachezaji pia.

Wao wanapotoa pesa ili wachezaji wa Simba wavunjwe miguu,wanadhani suala hili ni fair?
Tunafuatilia kwa karibu sana huu uhuni na tutawaanika wachezaji wanaokula mlungura wa utopolo ili wawavunje wachezaji wa Simba.

Utopolo wanatangaza wazi kuwa ubingwa kwao ni lazima kwa vyovyote vile.Huyo Manara alikiri wazi kuwa wao sio wajinga waende Tanga wiki moja kisha wafungwe.Kwamba wao watoto wa mjini.Utoto wa mjini maana yake ni nini kama si uhuni kwenye soka?

Kama mmekuja kucheza soka tucheze soka tuache mambo ya utoto wa mjini.Mpira wetu hauwezi kusonga mbele kwa tabia za kipumbavu za kujiita bingwa wa kihistoria wakati mechi za kimataifa unaboronga kila ukipewa nafasi.Huku kuboronga mechi za kimataifa ni ishara tu kwamba ubingwa umeupata kimagumashi.

Timu iliyopata ubingwa kihalali,basi itaonesha ubora wake angalau katika timu 16 bora Afrika na si ya 80.

Kumbuka ubora halisi wa timu ni pale inaposhinda makombe na kufanya vema kimataifa.Tuache huu uswahili wa eti bingwa wa kihistoria halafu unaleta wahuni wanakuja kuharibu soka
Siku ya Kufa kwa Nyani miti yote huteleza. Nyani wanaruka na kukanyagana .
 
Kama ambavyo simba wanavyo honga marefa ili kuiminya YANGA kwenye mechi zake. Kuweka offside za uongo uongo.
 
Mkuu Kwahiyo Unafurahishwa Na Makosa Ya Kila Siku Katika Ligi Yetu Ya NBC?
 
Mkuu Kwahiyo Unafurahishwa Na Makosa Ya Kila Siku Katika Ligi Yetu Ya NBC?
Hakuna mtu wa ovyo kama anayeshabikia makosa ya wazi ya waamuzi kwa sababu tu yameibeba timu anayoshabikia. Ukiona mtu wa aina hiyo kaandika kitu kushangilia hali hiyo pita pembeni maana uwezo wake wa kufikiri unakuwa chini sana.
 
Yaani pengo la pointi kubaki 5 wamepaniki kiasi kwangu roho zinataka kuwatoka!

Maelezo ya Manara yanaonesha jinsi hali ilivyo mbaya huko utopoloni licha ya kwamba wanaongoza ligi.

Niwakumbushe tu kuwa michezo michafu wanafanya wao na wajue sheria za soka haziwahusu waamuzi peke yao bali wachezaji pia.

Wao wanapotoa pesa ili wachezaji wa Simba wavunjwe miguu,wanadhani suala hili ni fair?
Tunafuatilia kwa karibu sana huu uhuni na tutawaanika wachezaji wanaokula mlungura wa utopolo ili wawavunje wachezaji wa Simba.

Utopolo wanatangaza wazi kuwa ubingwa kwao ni lazima kwa vyovyote vile.Huyo Manara alikiri wazi kuwa wao sio wajinga waende Tanga wiki moja kisha wafungwe.Kwamba wao watoto wa mjini.Utoto wa mjini maana yake ni nini kama si uhuni kwenye soka?

Kama mmekuja kucheza soka tucheze soka tuache mambo ya utoto wa mjini.Mpira wetu hauwezi kusonga mbele kwa tabia za kipumbavu za kujiita bingwa wa kihistoria wakati mechi za kimataifa unaboronga kila ukipewa nafasi.Huku kuboronga mechi za kimataifa ni ishara tu kwamba ubingwa umeupata kimagumashi.

Timu iliyopata ubingwa kihalali,basi itaonesha ubora wake angalau katika timu 16 bora Afrika na si ya 80.

Kumbuka ubora halisi wa timu ni pale inaposhinda makombe na kufanya vema kimataifa.Tuache huu uswahili wa eti bingwa wa kihistoria halafu unaleta wahuni wanakuja kuharibu soka
Mhuni wa kwanza kuaribu soka ni tajiri yenu Mo, tena ungefunga ilo bakuli lako kuongelea habari za kuaribu soka, unachoongea ni Kama vile umekatika kichwa unapuyanga tu, unaumia kuubadilisha ukweli yanga kuitwa bingwa wa kihistoria? Imeshakuwa ivyo uwezi kuubadilisha uhalisia zaidi ya kuumia tu we mwenyewe
 
Mhuni wa kwanza kuaribu soka ni tajiri yenu Mo, tena ungefunga ilo bakuli lako kuongelea habari za kuaribu soka, unachoongea ni Kama vile umekatika kichwa unapuyanga tu, unaumia kuubadilisha ukweli yanga kuitwa bingwa wa kihistoria? Imeshakuwa ivyo uwezi kuubadilisha uhalisia zaidi ya kuumia tu we mwenyewe
mwambie jsm avilipe vile vilabu 15 pesa ya kuweka logo kwenye jezi zao
 
Utopolo wanachekesha sana, wao ni kulia tu kila siku.
😂😂😂

C7196EDF-9E7C-48E9-81B8-63286297F8FC.jpeg
 
Sifurahishwi hata kidogo.Maana ninaona mara nyingi hata Simba ananyiwa penalty lakini Simba sijawahi kuwasikia wakililia penalty.Ninaposema sijawahi kuwasikia nazungumza viongozi.

Ninachokiona hapa yanga wanatafuta huruma kwa waamuzi ili timu nyingine zigandamizwe hasa wanapocheza na yanga.
Mwaka jana hakuna timu iliyonufaika na makosa ya wazi ya waamuzi kama vile yanga.Walibebwa lakini hawakubebeka.
Kwa hiyo ni vizuri unapotoa lawama uwe objective na si subjective
Mkuu Kwahiyo Unafurahishwa Na Makosa Ya Kila Siku Katika Ligi Yetu Ya NBC?
 
Back
Top Bottom