kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Utashangaa sasa hivi Morrison ndo anaangushiwa jumba bovu na wanatoa povu sana juu yake.
Mara wanasema wamelogwa na Simba!Sasa kama wamelogwa,kwa nini kugombana na mchezaji wao waliyembatiza jina la mkuki?
Leo nasikia tena eti wanachunguza wachezaji wao kama kuna muamala walipokea kutoka Simba!Hii inaonesha jinsi gani walivyosajili watu wasiojielewa.Kwani ni nani asiyependa kucheza mashindano ya kimataifa?Mna wachezaji wajinga kiasi hicho kikosini?
Mwisho,hivi kweli kwa akili yenu mnaamini mna kikosi kizuri kwa kiwango cha Simba kiasi kwamba mnakuwa na mashaka na kipigo cha paka mwizi?
Kutokana na ninyi kujukikana kwa majina kama utopolo,utendaji wenu unaanza kuakisi jina lenu pia.Mna safari ndefu sana kama mtaendelea kuendeleza uswahili swahili kwenye mpira.
Mara wanasema wamelogwa na Simba!Sasa kama wamelogwa,kwa nini kugombana na mchezaji wao waliyembatiza jina la mkuki?
Leo nasikia tena eti wanachunguza wachezaji wao kama kuna muamala walipokea kutoka Simba!Hii inaonesha jinsi gani walivyosajili watu wasiojielewa.Kwani ni nani asiyependa kucheza mashindano ya kimataifa?Mna wachezaji wajinga kiasi hicho kikosini?
Mwisho,hivi kweli kwa akili yenu mnaamini mna kikosi kizuri kwa kiwango cha Simba kiasi kwamba mnakuwa na mashaka na kipigo cha paka mwizi?
Kutokana na ninyi kujukikana kwa majina kama utopolo,utendaji wenu unaanza kuakisi jina lenu pia.Mna safari ndefu sana kama mtaendelea kuendeleza uswahili swahili kwenye mpira.