Utotoni mwangu.

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
54,943
Kiukweli mimi utotoni mwangu kukata mwezi mmoja sijaoga ilikuwa ni kitu cha kawaida sana.

Utotoni mwangu kushiba mpaka chakula kiishe.

Utoto mwangu nilijua kila msichana ana HIV.

WEWE KIPI UTOTONI MWAKO ULIKUWA UNAKIFANYA?
 
Utotoni mwangu biscuits, sukari,na pipi ndo nilikuwa naona vyakula bora!!.
 
Kupigana,kuchelewa na kutoroka shule,wizi wa kalamu,daftali,vitabu ndo niliona mchongo
 
Utotoni mwangu nilikuwa sijui jinsia yangu vizuri,nilikuwa nikivalishwa kanga,skirt,vigauni ingawa ni wakiume najiona nimependezaaa!!!.[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Duh dunia ina mambo magumu na mazito tusiyo yajua
 
Nilikuwa naamini Babu yetu tuliekuwa tunaishi nae kuwa ndio Mtoto Mkubwa wa Baba japo nilikuwa namsikia Baba akimwita ' Baba' kwa kuwa tu nilikuwa naona yupo tu home hana Mishemishe Kama za Mshua kutokana na Uzee wake!
 
Utotoni mwangu nilijua mjamzito ameshiba sana haitaji kula tena.

Nikimuona anakula najua ni mroho sana hatosheki
 
Utoto wangu niliwahi kusimamia harusi kama bi harusi mdogo nikaamini mvulana niliesimamia nae ndo atakuwa mme wangu tukiwa wakubwa. Hahaaa matokeo yake leo hii nikikutana nae hata sura simkumbuki, utoto raha sanaaa
 
Utotoni mwangu kipindi niko darasa la kwanza nilisoma tangazo la nguvu za kiume kwenye gazeti nikaenda kumwonyesha mama nikamwambia nikija kuwa mkubwa nikapata ela lazima ninunue hizo nguvu za kiume !
Mama aliniuliza unajua maana ya nguvu hizo?
Mi nikamjibu ni nguvu kama alizonazo Comando John za kuweza kupambana na kupiga watu wote hata kunyanyua gari..!
Mama aliishia kucheka tu ..leo hii nshakua nkagundua kumbe tangazo lile liliwahusu wanaume wa Dar.!
 
Utoto wangu niliwahi kusimamia harusi kama bi harusi mdogo nikaamini mvulana niliesimamia nae ndo atakuwa mme wangu tukiwa wakubwa. Hahaaa matokeo yake leo hii nikikutana nae hata sura simkumbuki, utoto raha sanaaa
Dah nataman ningekuwa nacheza na wewe kipindi hicho
 
Nilikuwa naamini Babu yetu tuliekuwa tunaishi nae kuwa ndio Mtoto Mkubwa wa Baba japo nilikuwa namsikia Baba akimwita ' Baba' kwa kuwa tu nilikuwa naona yupo tu home hana Mishemishe Kama za Mshua kutokana na Uzee wake!
Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…