Utovu wa Nidhamu toka kwa Marcelo wamsababishia kuvunjiwa mkataba na Fluminense

Utovu wa Nidhamu toka kwa Marcelo wamsababishia kuvunjiwa mkataba na Fluminense

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Legend wa Real Madrid, Marcelo amevunjiwa mkataba na klabu ya Fluminense miezi miwili kabla ya muda wake kumalizika, baada ya kutokea kutoelewana na kocha Mano Menezes jana Jumamosi.

Tukio hilo lilitokea wakati Menezes alipokuwa akipanga kumuingiza Marcelo uwanjani katika dakika za mwisho za mechi dhidi ya Grêmio.

Hata hivyo, Marcelo alionekana kupinga maelekezo ya kocha, jambo lililomfanya Menezes kubadili uamuzi wake na kumuinua mshambuliaji John Kennedy badala yake.
 
Wabrazil wengi wanaendeleza asili yao ya huku Africa ya kukosa ustarabu na uungwana.

Hata Vini jr nadhani utovu wa nidhamu na usela wa kijinga huenda umechangia kukosa ballon d'or
 
Kuna ile Hali ya kuwa unajisemea "aah nimeshinda makombe makubwa na wachezaji kama kina kristiano, modric, kroos & Co. Kocha zidane, haniambii kitu huyu"...Ego.
 
Legend wa Real Madrid, Marcelo amevunjiwa mkataba na klabu ya Fluminense miezi miwili kabla ya muda wake kumalizika, baada ya kutokea kutoelewana na kocha Mano Menezes jana Jumamosi.

Tukio hilo lilitokea wakati Menezes alipokuwa akipanga kumuingiza Marcelo uwanjani katika dakika za mwisho za mechi dhidi ya Grêmio.

Hata hivyo, Marcelo alionekana kupinga maelekezo ya kocha, jambo lililomfanya Menezes kubadili uamuzi wake na kumuinua mshambuliaji John Kennedy badala yake.
View attachment 3142610
DOGO MJINGA SANA. ANALETA USELA WA KIFALA
 
amefanya jambo baya, though ameshatengeneza pesa za kutosha, hana shida.
 
Back
Top Bottom