Hii imetokea kwa rafiki angu mara ya mwisho kupima mimba yake ilikua na wiki 31 mwezi mmoja baadae alivyoenda Clinic majibu ya utrasound yakaonesha wiki 30. Hivi hii imekaaje wadau maana ata daktari nae alishangaa.
Hivi hakuna tatizo hapo? Japo hana tatizo loloto so far na uzito unaongezeka kawaida na tumbo pia.
USHAURI TAFADHALI.