UTT AMIS Kuna jambo haliko sawa Kwa wawekezaji

UTT AMIS Kuna jambo haliko sawa Kwa wawekezaji

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili.

1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela hazijaanza kukupa faida) Pia haijulikani zinakuwa zimewekwa wapi.

2) Faida baada ya mwezi kuisha inatolewa kwenye mtaji wako,haijulikani inakopelekwe,mpaka baada ya siku kumi ndio unapewa. Swali kwanini waondoe kwenye account ya mteja Hela za faida,wapeleke kwenye account nyingine isiyo ya mteja kusubiri process ya kumwingizia Hela mteja?

NB. Kwao kukaa na Hela za wawekezaji hata Kwa siku moja ni faida,lakini mwenye fedha anapokuwa hapati faida yoyote ni hizo pesa Kwa muda huo ni sawa na kuwaibia wateja,

Naomba wahusika waondoe kisingizio Cha Process kukaa na Hela ya mtu siku kumi,hujamwingizia kwenye account yake. Mifumo isaidie kurahisisha maisha ya watu.
 
Pia wazoefu watueleze system ya UTT inatoa percent siku za kazi tuu yani (Mon - Fri) au ni siku zote haijalishi ni w/end au public holidays ,Me nna hisi mambo mawili 👇🏻

Moja

Inawezekana system yao haifanyi kazi siku za w/end na public holyday lakini percent ya hizo siku inakuja kuingia siku ya week itakayofuata

Mbili

Inawezekana system yao imelenga kutoa percent kwa siku za kazi tuu yani (Mon-Fri)

Wanye uzoefu zaidi watakuja kutupa mwanga
 
Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili.

1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela hazijaanza kukupa faida) Pia haijulikani zinakuwa zimewekwa wapi.

2) Faida baada ya mwezi kuisha inatolewa kwenye mtaji wako,haijulikani inakopelekwe,mpaka baada ya siku kumi ndio unapewa. Swali kwanini waondoe kwenye account ya mteja Hela za faida,wapeleke kwenye account nyingine isiyo ya mteja kusubiri process ya kumwingizia Hela mteja?

NB. Kwao kukaa na Hela za wawekezaji hata Kwa siku moja ni faida,lakini mwenye fedha anapokuwa hapati faida yoyote ni hizo pesa Kwa muda huo ni sawa na kuwaibia wateja,

Naomba wahusika waondoe kisingizio Cha Process kukaa na Hela ya mtu siku kumi,hujamwingizia kwenye account yake. Mifumo isaidie kurahisisha maisha ya watu.
Siku kumi ndiyo unapewa faida!!? Watakuwa wanaingiza pesa nyingi sana kupitia hizo faida zenu.
 
Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili.

1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela hazijaanza kukupa faida) Pia haijulikani zinakuwa zimewekwa wapi.

2) Faida baada ya mwezi kuisha inatolewa kwenye mtaji wako,haijulikani inakopelekwe,mpaka baada ya siku kumi ndio unapewa. Swali kwanini waondoe kwenye account ya mteja Hela za faida,wapeleke kwenye account nyingine isiyo ya mteja kusubiri process ya kumwingizia Hela mteja?

NB. Kwao kukaa na Hela za wawekezaji hata Kwa siku moja ni faida,lakini mwenye fedha anapokuwa hapati faida yoyote ni hizo pesa Kwa muda huo ni sawa na kuwaibia wateja,

Naomba wahusika waondoe kisingizio Cha Process kukaa na Hela ya mtu siku kumi,hujamwingizia kwenye account yake. Mifumo isaidie kurahisisha maisha ya watu.
Tatizo la wa Tanzania huwa hawasomi Vigezo na Masharti yaliyo ambatana na mfuko husika uliochagua kabla ya kujiunga.
N.B Yote unayolalamika yameorotheshwa kwenye Masharti husika
 
Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili.

1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela hazijaanza kukupa faida) Pia haijulikani zinakuwa zimewekwa wapi.

2) Faida baada ya mwezi kuisha inatolewa kwenye mtaji wako,haijulikani inakopelekwe,mpaka baada ya siku kumi ndio unapewa. Swali kwanini waondoe kwenye account ya mteja Hela za faida,wapeleke kwenye account nyingine isiyo ya mteja kusubiri process ya kumwingizia Hela mteja?

NB. Kwao kukaa na Hela za wawekezaji hata Kwa siku moja ni faida,lakini mwenye fedha anapokuwa hapati faida yoyote ni hizo pesa Kwa muda huo ni sawa na kuwaibia wateja,

Naomba wahusika waondoe kisingizio Cha Process kukaa na Hela ya mtu siku kumi,hujamwingizia kwenye account yake. Mifumo isaidie kurahisisha maisha ya watu.
Tafuta mutual fund za nje uwekeze hutojutia kabisa. Huu ni ulimwengu wa digital na mmekaa na dunia yote mikononi mwenu.
Ama mnaitumia kuangalia mwijaku,maulid,simba na yanga or cdm vs ccm na diamond utadhani wataweka chakula mezani kwako.
Huhitaji kuwa mjerumani kuwekeza ujerumani.
Even bank account unafungua USA na bado wewe ni mtanzania. Siku moja tu yaani masaa 24 inabidi upate gawio lako kabisa.

Wao waambie wakupe hata milioni mia kwa 24 hrs uone watakachokuomba Kama faida yao.

Hela ni nguvu yaani ni greda ama bulldozer inafanya kazi. So why mtu akae na hela yako. Inabidi hizi Mambo ziwe automatic bila human being involvement or participation kwani hawana watu wa IT washughulilie hili ama bado wanaowaza kuwekeza like stone age era.
 
Tatizo la wa Tanzania huwa hawasomi Vigezo na Masharti yaliyo ambatana na mfuko husika uliochagua kabla ya kujiunga.
N.B Yote unayolalamika yameorotheshwa kwenye Masharti husika
Tatizo sio kusoma. Tatizo ni kuelewa unachokisoma
 
Tafuta mutual fund za nje uwekeze hutojutia kabisa. Huu ni ulimwengu wa digital na mmekaa na dunia yote mikononi mwenu.
Ama mnaitumia kuangalia mwijaku,maulid,simba na yanga or cdm vs ccm na diamond utadhani wataweka chakula mezani kwako.
Huhitaji kuwa mjerumani kuwekeza ujerumani.
Even bank account unafungua USA na bado wewe ni mtanzania. Siku moja tu yaani masaa 24 inabidi upate gawio lako kabisa.

Wao waambie wakupe hata milioni mia kwa 24 hrs uone watakachokuomba Kama faida yao.

Hela ni nguvu yaani ni greda ama bulldozer inafanya kazi. So why mtu akae na hela yako. Inabidi hizi Mambo ziwe automatic bila human being involvement or participation kwani hawana watu wa IT washughulilie hili ama bado wanaowaza kuwekeza like stone age era.
Zungumzia na risky pia kwenye huo uwekezaji wa nje, mwenyewe unaongea hapo Hutoi Mfano wa mifuko ya nje uliyowekeza.
Hawa UTT,sio kwamba wameshindwa/ hawajui. Ni wizi wanafanya kutoa interest ya mteja kwenye account na kuipeleka kwenye suspense account inayowapa wao faida,baada ya siku kumi,wamepata Hela zao zaidi,ndio wanakulipa.( Is by design,not defaults) Ila inahitaji akili kujua wanaibia wateja,wakidai ni process.kama process waache Hela kwenye account,ziendelee kuzaa faida mpaka ukifika mud wa kumlipa mteja ndio wazitoe kwenye account ya mteja na kupeleka benk
 
Tatizo la wa Tanzania huwa hawasomi Vigezo na Masharti yaliyo ambatana na mfuko husika uliochagua kabla ya kujiunga.
N.B Yote unayolalamika yameorotheshwa kwenye Masharti husika
Sio Ukweli,Unaongea Nonsense,wakati wa kuwekeza wanadai uchague kulipwa Kila mwezi au kulipwa baada ya miezi SITA,ukichagua Kwa mwezi,usipoona Hela kwenye account Yako ukifuatilia,ndio unaambiwa Kuna process ya siku kumi kukuingizia Hela kwenye account yako.nimewahi kuwa na fixed deposit Akiba Commercial benki,Kila baada ya miezi mitatu ( miaka 15 iliyopita) ikifika tarehe,unalipwa siku hiyohiyo,sio huu WIZI wa UTT.kama Kuna process waache Hela kwenye account za faida mpaka process ikamilike,sio watoe siku kumi hujui wapi zipo na kwanini. This is by design not by default,na huambiwi kuwa utalipwa baada ya siku 40, sio siku 30.Mwezi hatuna siku 40.hawatendi Haki,
 
Siku kumi ndiyo unapewa faida!!? Watakuwa wanaingiza pesa nyingi sana kupitia hizo faida zenu.
Exactly,baada ya siku kumi ndio unapewa faida,wakati faida ilishatolewa kwenye account na hujui imepelekwa wapi mpaka siku kumi zao zifike, badala ya kupewa Kwa mwezi Sasa inakuwa siku 40 na kibaya hawakwambii kuwa watafqnyw hayo,ukiwauliza wanasema tu ni process.wakichukua Hela zote za watu Kwa njia hiyo baada ya wiki Moja wanafaida kubwa ya hatamu.
 
Pia wazoefu watueleze system ya UTT inatoa percent siku za kazi tuu yani (Mon - Fri) au ni siku zote haijalishi ni w/end au public holidays ,Me nna hisi mambo mawili 👇🏻

Moja

Inawezekana system yao haifanyi kazi siku za w/end na public holyday lakini percent ya hizo siku inakuja kuingia siku ya week itakayofuata

Mbili

Inawezekana system yao imelenga kutoa percent kwa siku za kazi tuu yani (Mon-Fri)

Wanye uzoefu zaidi watakuja kutupa mwanga
Nime Note, Mawasiliano yao ya activities za account siku za weekend na holidays zinakuwa dormant.utafikiri duka la Mangi, kafunga Ili aende ibadani au ana mtoko! Siku tatu nyingi Kuna siku nimeweka Hela ijumaa mapema,haikuonekana mapaka jumatatu! Hujui kama mzigo wamepata au Bado.
 
Tafuta mutual fund za nje uwekeze hutojutia kabisa. Huu ni ulimwengu wa digital na mmekaa na dunia yote mikononi mwenu.
Ama mnaitumia kuangalia mwijaku,maulid,simba na yanga or cdm vs ccm na diamond utadhani wataweka chakula mezani kwako.
Huhitaji kuwa mjerumani kuwekeza ujerumani.
Even bank account unafungua USA na bado wewe ni mtanzania. Siku moja tu yaani masaa 24 inabidi upate gawio lako kabisa.

Wao waambie wakupe hata milioni mia kwa 24 hrs uone watakachokuomba Kama faida yao.

Hela ni nguvu yaani ni greda ama bulldozer inafanya kazi. So why mtu akae na hela yako. Inabidi hizi Mambo ziwe automatic bila human being involvement or participation kwani hawana watu wa IT washughulilie hili ama bado wanaowaza kuwekeza like stone age era.

Mkuu, Ego is the Enemy , tunaomba tips au ABCs kuhusu hizo Mutual Funds za nje.

Naamini kabisa kuwa information is power.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom