UTT AMIS kuna kitu wanafeli

UTT AMIS kuna kitu wanafeli

msakhara

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2019
Posts
277
Reaction score
381
Habari wakuu,
kutokana na hamasa niliyoipata hapa jf nikaamua niende UTT AMIS pale sukari house, kupata maelekezo na kuwekeza...
Ila kila swali nililokua nauliza naona nnajibiwa kama nnawakwaza...yaani ni ile huduma ya maliza uondoke [emoji1], wakati pale ni hela ya mtu inahusika...
Poor customer care kama ilivyo kwa agency nyingi za serikali!!!
Hapa nikajiuliza, jamaa wanaaminika kweli!!?? Maana watu wasijewekeza then kufwatilia kuchukua wakaletewa nyodo tena kama hela ya msaada tu!!
Mara ya pili nikaenda kujisajiri na viambata vyangu, nikaambiwa kabidhi hyo form, fungua kwa simu, baadaye naletewa sms, umejiunga kwaajili ya kununua nav tu, hadi hapo utakapo kamirisha usajiri...wtf am in your office , si mnisajiri?[emoji1]...
Kama umewahi fika, nipe experience yako...,kama hujawahi kwenda jiandae kisaikolojia!!
 
Habari wakuu,
kutokana na hamasa niliyoipata hapa jf nikaamua niende UTT AMIS pale sukari house, kupata maelekezo na kuwekeza...
Ila kila swali nililokua nauliza naona nnajibiwa kama nnawakwaza...yaani ni ile huduma ya maliza uondoke [emoji1], wakati pale ni hela ya mtu inahusika...
Poor customer care kama ilivyo kwa agency nyingi za serikali!!!
Hapa nikajiuliza, jamaa wanaaminika kweli!!?? Maana watu wasijewekeza then kufwatilia kuchukua wakaletewa nyodo tena kama hela ya msaada tu!!
Mara ya pili nikaenda kujisajiri na viambata vyangu, nikaambiwa kabidhi hyo form, fungua kwa simu, baadaye naletewa sms, umejiunga kwaajili ya kununua nav tu, hadi hapo utakapo kamirisha usajiri...wtf am in your office , si mnisajiri?[emoji1]...
Kama umewahi fika, nipe experience yako...,kama hujawahi kwenda jiandae kisaikolojia!!

Mimi ni mteja wa siku nyingi wa UTT na kusema kweli mifuko yao ni mizuri sana kuwekeza ila customer care ya wale wadada pale mapokezi ni changamoto sana.

Mimi huwa sikanyagi kabisa pale kuepuka maudhi labda kama naenda kutoa hela ila issue nyingine zote namaliza na simu au email.

UTT unafungua account kwa simu na unaanza kuwekeza. Kuhusu fomu unaweza uka-download kwenye web yao na kuzituma pamoja na vitambulisho vyako kwa kutumia email then kila kitu kuanzia kuongeza uwekezaji na kufuatilia performance ya account yako unaifanya kwa simu. Pale unaenda tu kutoa hela ukifika unajaza fomu kimya kimya then unawapa na copy ya kitambulisho unasepa.

Kuna kidada cheupe fulani pale reception unaweza pata kesi ya kujeruhi mtu.
 
Mimi ni mteja wa siku nyingi wa UTT na kusema kweli mifuko yao ni mizuri sana kuwekeza ila customer care ya wale wadada pale mapokezi ni changamoto sana.

Mimi huwa sikanyagi kabisa pale kuepuka maudhi labda kama naenda kutoa hela ila issue nyingine zote namaliza na simu au email.

UTT unafungua account kwa simu na unaanza kuwekeza. Kuhusu fomu unaweza uka-download kwenye web yao na kuzituma pamoja na vitambulisho vyako kwa kutumia email then kila kitu kuanzia kuongeza uwekezaji na kufuatilia performance ya account yako unaifanya kwa simu. Pale unaenda tu kutoa hela ukifika unajaza fomu kimya kimya then unawapa na copy ya kitambulisho unasepa.

Kuna kidada cheupe fulani pale reception unaweza pata kesi ya kujeruhi mtu.
Kabisa, kumbe unawajua vizuri...terrible aisee
 
Mimi ni mteja wa siku nyingi wa UTT na kusema kweli mifuko yao ni mizuri sana kuwekeza ila customer care ya wale wadada pale mapokezi ni changamoto sana.

Mimi huwa sikanyagi kabisa pale kuepuka maudhi labda kama naenda kutoa hela ila issue nyingine zote namaliza na simu au email.

UTT unafungua account kwa simu na unaanza kuwekeza. Kuhusu fomu unaweza uka-download kwenye web yao na kuzituma pamoja na vitambulisho vyako kwa kutumia email then kila kitu kuanzia kuongeza uwekezaji na kufuatilia performance ya account yako unaifanya kwa simu. Pale unaenda tu kutoa hela ukifika unajaza fomu kimya kimya then unawapa na copy ya kitambulisho unasepa.

Kuna kidada cheupe fulani pale reception unaweza pata kesi ya kujeruhi mtu.
Habari kwakweli poleni ila binafsi nimemuwekezaji wa UTT na Nina takriban miaka sita pale.Sijawahi kusikia hizi tuhuma na pia nimewaelekeza ndugu jamaa na marafiki zangu wengi sana na wote wananishukuru.

Ni vizuri kusema kama mtu amepata tatizo la customer care lakini hakika havihusiani na faida na huduma zilizopo pale.Ni sehem salama na ya uhakika kabisa kwenye swala la kuweka fedha.
Mimi najiongelea binafsi na jamii niliyoielekeza pale Sijawahi sikia hayo manyanyaso.Lakini mwisho tuwasamehe na tuangalie zaidi faida zinazopatikana hapo.

Mtu ukisema huendi,hutaki sidhani kama ni sawa maana lengo lilikuwa ni kuongelea customer care na sio kuonesha mihemko ya kukataa kuwekeza.

Hakika ni sehem salama sana kwa pesa yako naomba rudi tena.
Bora mmetuambia mapema.

Sitathubutu kukanyaga pale, Mara nyingi sipendi dharau..
Habari kwakweli poleni ila binafsi nimemuwekezaji wa UTT na Nina takriban miaka sita pale.Sijawahi kusikia hizi tuhuma na pia nimewaelekeza ndugu jamaa na marafiki zangu wengi sana na wote wananishukuru.

Ni vizuri kusema kama mtu amepata tatizo la customer care lakini hakika havihusiani na faida na huduma zilizopo pale.Ni sehem salama na ya uhakika kabisa kwenye swala la kuweka fedha.
Mimi najiongelea binafsi na jamii niliyoielekeza pale Sijawahi sikia hayo manyanyaso.Lakini mwisho tuwasamehe na tuangalie zaidi faida zinazopatikana hapo.

Mtu ukisema huendi,hutaki sidhani kama ni sawa maana lengo lilikuwa ni kuongelea customer care na sio kuonesha mihemko ya kukataa kuwekeza.

Hakika ni sehem salama sana kwa pesa yako naomba rudi tena.
 
Habari kwakweli poleni ila binafsi nimemuwekezaji wa UTT na Nina takriban miaka sita pale.Sijawahi kusikia hizi tuhuma na pia nimewaelekeza ndugu jamaa na marafiki zangu wengi sana na wote wananishukuru.

Ni vizuri kusema kama mtu amepata tatizo la customer care lakini hakika havihusiani na faida na huduma zilizopo pale.Ni sehem salama na ya uhakika kabisa kwenye swala la kuweka fedha.
Mimi najiongelea binafsi na jamii niliyoielekeza pale Sijawahi sikia hayo manyanyaso.Lakini mwisho tuwasamehe na tuangalie zaidi faida zinazopatikana hapo.

Mtu ukisema huendi,hutaki sidhani kama ni sawa maana lengo lilikuwa ni kuongelea customer care na sio kuonesha mihemko ya kukataa kuwekeza.

Hakika ni sehem salama sana kwa pesa yako naomba rudi tena.

Habari kwakweli poleni ila binafsi nimemuwekezaji wa UTT na Nina takriban miaka sita pale.Sijawahi kusikia hizi tuhuma na pia nimewaelekeza ndugu jamaa na marafiki zangu wengi sana na wote wananishukuru.

Ni vizuri kusema kama mtu amepata tatizo la customer care lakini hakika havihusiani na faida na huduma zilizopo pale.Ni sehem salama na ya uhakika kabisa kwenye swala la kuweka fedha.
Mimi najiongelea binafsi na jamii niliyoielekeza pale Sijawahi sikia hayo manyanyaso.Lakini mwisho tuwasamehe na tuangalie zaidi faida zinazopatikana hapo.

Mtu ukisema huendi,hutaki sidhani kama ni sawa maana lengo lilikuwa ni kuongelea customer care na sio kuonesha mihemko ya kukataa kuwekeza.

Hakika ni sehem salama sana kwa pesa yako naomba rudi tena.
sasa umeshapewa hint ya kidada cheupe chenye kauli mbovu kwa wateja hapo mapokezi kwenu. ni vema mkakifanyia kazi au km vipi mumhamishie jikoni uko akahangaike na masufuria au kikabebe mafaili uko kabla hajawakimbizia wateja
 
Back
Top Bottom