Habari wadau,
Sielewi kwamba ni mimi mwenye ninayepitia hii hali au kuna wengine pia wanakumbana na hili.
Ni karibia wiki mbili sasa ninashindwa kuingia kwenye App yao.
Hii inanikwamisha kwa kiasi kikubwa kwani ninashindwa kutoa sehemu ya akiba yangu iweze kunisaidia kwenye masuala kadhaa yanayonikabili.
Wadau hebu tusaidiane hili mnalipatia vipi ufumbuzi?
Watanzania walio wengi ni wajinga mnoo na inahitajika nguvu ya ziada kuondoa uwo ujinga kichwani mwaoUpo sahihi Mkuu asilimia 100 kwasababu maelekezo yote yapo hapo kwenye simu kwanini hawasomi wafwatilie? Kz maelezo nilio toa sija yatoa hewani nilifwata maelekezo nilio pata wakati na log in na kila kitu kikaenda vizuri tu sasa wao walishindwa nini?
Tupunguze kulalamika vitu vingine nivya kujisaidia mwenyewe.
Si anajieleza tu vizuri na ikiwezekana anaenda na simu mnaongea na afisa.Naweza kutuma mtu kwa niaba yangu wakamsikiliza?
NakaziaPole sana. Ikiwezekana mtume hata rafiki, ndugu, kijana apite hapo ofisini kwao aulize tu shida ni nini? Unaweza pewa maelekezo ni nini ufanye.