UTT amis, naomba kujua maana ya hii "growth scheme

UTT amis, naomba kujua maana ya hii "growth scheme

bornthelast

Member
Joined
Jul 11, 2022
Posts
24
Reaction score
15
Habarin wakuu,msaada kwa mwenye kufahamu haya mambo ;
1.Mfano umefungua akaunti UTT-liquid fund na ulishakamilisha usajili ofisini kwao,then baada ya mwaka ukataka ongezea mfuko mwengine mfano bond fund,je inawezekana ?
2.Naomba kujua maana ya hii "growth scheme" naiona kwenye liquid fund kama inavyoonekana kwenye kiambatanishi hapo chini
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-27-16-15-42-146-edit_com.adobe.scan.android.jpg
    Screenshot_2024-07-27-16-15-42-146-edit_com.adobe.scan.android.jpg
    115.6 KB · Views: 39
Mkuu me ntajibu swali la kwanza,

Kujiunga UTT hawana limit yani hata siku ya kwanza unaweza ukafungua account za mifuko yote na ukakamilishiwa usajili, hii ni kwa sababu mifuko haiingiliani hivyo ni wewe tuu muda wowote ule unaweza ukafungua account na ndo maana ile form wanayokupa pale ina Account za mifuko yote 6
 
Mkuu me ntajibu swali la kwanza,

Kujiunga UTT hawana limit yani hata siku ya kwanza unaweza ukafungua account za mifuko yote na ukakamilishiwa usajili, hii ni kwa sababu mifuko haiingiliani hivyo ni wewe tuu muda wowote ule unaweza ukafungua account
Thanks mkuu,na vipi kuna haja ya kwenda ofisini kwao tena kwa ajili ya kukamilisha usajili wa mfuko mpya ikiwa ulisha kamilisha usajili ule wa mwanzo (liquid) ?
 
Thanks mkuu,na vipi kuna haja ya kwenda ofisini kwao tena kwa ajili ya kukamilisha usajili wa mfuko mpya ikiwa ulisha kamilisha usajili ule wa mwanzo (liquid) ?
Yes mkuu ipo haja mkuu coz kuna details kule wanazifanyia verifications kama Nida yako na pia ku link Bank account na Account ya UTT uliyoifungua itakayokuwezesha ku receive pesa pindi ukitaka ku withdraw
Hivyo swala la kwenda kumaliza registration ofsini kwao haliepukiki
 
Back
Top Bottom