Utu na utoaji!

Kuna jamaa yangu figo zake ziliacha kufanya kazi mtoto wake wa kipekee alijitolea kumpa moja lakini bibi mzaa baba akakataa mjukuu wake atoe kwa kudai mwanae ameshaishi vya kutosha afe tu sio kumuumizia mjukuu wake wa pekee,na kweli baada ya muda akafariki dunia.Sasa huzuni ilikuja baada ya mjukuu nae kuuawa na majambazi baada ya miaka 2 kwa hiyo bibi akakosa wote.
 
lIZZY, KUTOA FIGO NI RAHISI KAMA UKO NCHI ILIYOENDELEA, LAKINI KUTOA FIGO TANZANIA YAWEZA IKAWA NDIO MWISHO WA MAISHA YAKO
Hahahaha MTM mbona unatuogopesha sasa?Nimeanza kupata mawazo ya pili!!

MBU pole sana kuhusu mzee!Binafsi nashindwa kuelewa hili la damu watu wanaogopa nini haswa??Hata kitu ambacho hakituishii tunanyima?Kweli hii ni hatari..yani uchoyo mpaka umepitiliza!
 
Loh!Bibi aliamua mmoja aishi akakosa wote wakati kuna uwezekano baba angeishi mwana nae angesalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…