Utumiaji wa miwani

mr.sylvestre

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
252
Reaction score
298
Wana JF ningependa kujua kuhusu madhara yatokanayo na uvaaji wa miwani kwani nimekuwa nikisikia kuwa kuna madhara,na kama yapo madhara yatokanayo na uvaaji wa miwani(miwani ya macho) kuna njia ipi mbadala itakayo mfanya huyu mgonjwa wa macho apate nafuu bila msaada wa miwani
NOTE:Niandikaye hapa ni mmoja wa watumiaji wa hii miwani ingawa athari sijaziona mpaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…