Utumiaji wa Pombe masaa machache kabla ya show watajwa Kama chanzo Cha poor performance ya WASAFI TEAM kwenye steji

Utumiaji wa Pombe masaa machache kabla ya show watajwa Kama chanzo Cha poor performance ya WASAFI TEAM kwenye steji

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Siku za hivi Karibuni kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa mashabiki Wasafi katika sehemu mbalimbali walisopita na kufanya show kuwa hawapati kile wanachokitarajia kutoka kwa wasanii wanaounda WCB. Mtakumbuka pia si Tanzania peke bali hata WCB walipofanya show huko Kenya mashabiki wamelalamika kuwa show za Wasafi zimekuwa za ovyo ovyo. Wasanii wanapanda jukwaani Wala hawafanyi chochote zaidi ya kuwaimbisha mashabiki waliokuja.

Katika hili Pombe imetajwa Kama chanzo Cha wasanii Hawa kushindwa kufanya vitu jukwaani. Inasemekana huwa wanaingia jukwaani wakiwa wamelewa chakali
Screenshot_20190102-083244.pngScreenshot_20190102-083452.pngScreenshot_20190102-083509.pngScreenshot_20190102-084000.pngScreenshot_20190102-083244.png
Screenshot_20190102-083244.png
Screenshot_20190102-083452.png
Screenshot_20190102-083509.png
Screenshot_20190102-084000.png
 
Ndio akina nani hao kwani...!!??[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
Mbona hiyo picha moja hata wasafi festival haikuwa imeanza, unatuaminisha vipi ni ushahidi wa huyo msanii na DJ wake walikunywa pombe kabla ya kupanda jukwaani
 
Afadhali wao wanapiga hizo, sisi huku wapiga mnanda tunapiga ile ngumu kumeza kwa Mama Muuza halafu tunashtua na cha Uyole ndio kueleweke.
One day yes. Na sisi tutafikia level hizo tu.
 
Unajua nowadays mziki uko fake sana. Studio ndo zinamaliza utamu wote.. ngoma nyingi mpaka za mbele zimebebwa na studios tu. Tofauti na akina Fugees na huko nyuma kabisa akina ABBA. So ukisema uimbe ngoma yako uloinogesha na Beats za producer mkali ukaiimba na Band eti ni hatari sana. Lazima uwe fundi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom