Siku za hivi Karibuni kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa mashabiki Wasafi katika sehemu mbalimbali walisopita na kufanya show kuwa hawapati kile wanachokitarajia kutoka kwa wasanii wanaounda WCB. Mtakumbuka pia si Tanzania peke bali hata WCB walipofanya show huko Kenya mashabiki wamelalamika kuwa show za Wasafi zimekuwa za ovyo ovyo. Wasanii wanapanda jukwaani Wala hawafanyi chochote zaidi ya kuwaimbisha mashabiki waliokuja.
Katika hili Pombe imetajwa Kama chanzo Cha wasanii Hawa kushindwa kufanya vitu jukwaani. Inasemekana huwa wanaingia jukwaani wakiwa wamelewa chakali




Katika hili Pombe imetajwa Kama chanzo Cha wasanii Hawa kushindwa kufanya vitu jukwaani. Inasemekana huwa wanaingia jukwaani wakiwa wamelewa chakali




