HUKU ABROAD
Senior Member
- Nov 20, 2020
- 127
- 218
Kwanini sheria ya wanafunzi kutumia simu mashuleni haiwekewi vigezo na masharti kuzingatiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzazi anakosa gani hapoWazazi wawajibishwe
Kwann anamuach mtot aende na simu shule!?Mzazi anakosa gani hapo
Mzazi hamruhusu mtoto anajiruhusu mwenyewe na wala mzazi hajui loloteKwann anamuach mtot aende na simu shule!?
Kwahy mzazi ni dhaifu kwa mtoto wake!?Mzazi hamruhusu mtoto anajiruhusu mwenyewe na wala mzazi hajui lolote
Hapana usemalo, ila simu wanazipatia shule huko huko hata mzazi hatajua kama mwanae anatumia simu hapo jukumu lipo kwa walimu kuwadhibiti na sio mzaziKwahy mzazi ni dhaifu kwa mtoto wake!?
Huoni ni sabab ya baadh ya wazaz kulegalega kuwazuilia watot wao?Hapana usemalo, ila simu wanazipatia shule huko huko hata mzazi hatajua kama mwanae anatumia simu hapo jukumu lipo kwa walimu kuwadhibiti na sio mzazi
Simu shule zmeletw na kina nan!?Hapana usemalo, ila simu wanazipatia shule huko huko hata mzazi hatajua kama mwanae anatumia simu hapo jukumu lipo kwa walimu kuwadhibiti na sio mzazi
Mimi nasemea kwa boarding scholar .Huoni ni sabab ya baadh ya wazaz kulegalega kuwazuilia watot wao?
Wanafunzi wananunua wao kama shule ipo karib na maduka wanatoroka kwenda kununua hapo mzazi hana hatia maana hawezi jua tabia ya mwanae akiwa shule ikojeSimu shule zmeletw na kina nan!?
Basi wazaz wasiwape ela kubwa watot maan mahitaj yote yanaptikan shulen ,itasaidia kam sio kuondoa kabs tatzo ivo wazaz no first pointWanafunzi wananunua wao kama shule ipo karib na maduka wanatoroka kwenda kununua hapo mzazi hana hatia maana hawezi jua tabia ya mwanae akiwa shule ikoje
Mtoto ana njia njingi za kupata hela kwa mzazi haijarishi hiyo hela itapitia kwa mwalimu ila anaweza kutumia uongo wake kupata hela maanza simu zenyewe ni kuanzia 20k kwa walio soma boarding haya mambo wanayajua cha msingi n walimu kutilia makazo hilo jambo basiiiBasi wazaz wasiwape ela kubwa watot maan mahitaj yote yanaptikan shulen ,itasaidia kam sio kuondoa kabs tatzo ivo wazaz no first point
Kisa wewe umemaliza shule unaona wanao tumia kwa sasa wanafaidi sana.Kwanini sheria ya wanafunzi kutumia simu mashuleni haiwekewi vigezo na masharti
kuzingatiwa ?
Kwahy mwalimu ageuke kuwa mzazi kumkemea mtot mshahar mtamuongezea!?Mtoto ana njia njingi za kupata hela kwa mzazi haijarishi hiyo hela itapitia kwa mwalimu ila anaweza kutumia uongo wake kupata hela maanza simu zenyewe ni kuanzia 20k kwa walio soma boarding haya mambo wanayajua cha msingi n walimu kutilia makazo hilo jambo basiii
Iyo ni kazi Nyengine kwa mwalimu sasaKwahy mwalimu ageuke kuwa mzazi kumkemea mtot mshahar mtamuongezea!?
Chips zitawaponza kwakweli ..😂Kisa wewe umemaliza shule unaona wanao tumia kwa sasa wanafaidi sana.
Waache watumie unataka bodaboda na wauza chips wawasiliane nao vipi?